Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Wahaya tulieni tuopoe mchumbaKazi unayo mama!!!
Yaani tayari ni m'bovu bado unaweka masharti haya ngoja wa kabila lako wanakuja
Yamekua hayo tenaa! Ado ado vatafungua moyo tu wee komaa kiume 😁Kaniblock
Kwahiyo sisi warefu tufanyeje?Hapana sipendi warefu Sana napenda wafupi wawe na mwili kiasi afu weusi au maji y kunde awe ananyoa upara sio anaefuga nywele au kucha na mandevu
Kunyoa upara na body umenigusa Mimi,tatizo tayari nna mke, labda ukubari uke wenza , utakaa kwenye mji wako pekee na huyo mwanaoHapana sipendi warefu Sana napenda wafupi wawe na mwili kiasi afu weusi au maji y kunde awe ananyoa upara sio anaefuga nywele au kucha na mandevu
Utapata piga moyo kondeKila la kheri Uzi mpya kabisa ngoja waje
[emoji23]Inshort anatafuta Zungu la unga![emoji28]
Kwamba magari yamegongana [emoji848][emoji1] huu uzi unanivunja mbavu balaa [emoji3526]Mi ni Giresi [emoji23][emoji23]
Isije kuwa mleta mada ni wewe ID zimejichanganya
Chifu si kila Me aendaye PM kutafuta Ke ni mvulana la hasha! tuwaombee tu hao ili waokolewe kwa rehema na neema za Mungu, maana usikute wengine si akili zao bali ni watumwa wa mapepo mahaba [emoji38]Acha ujinga wako
Kwa umri huo hujaoa??
Unavizia losse balls
Komaa kwenye siasa tuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mapenzi hayalazimishwi na pia nilishajifunza kumove on na kuachilia mahali ambapo panamanyanyaso na mateso kwangu na kwa mtoto wangu. Labda yeye hakuwa sahihi kwangu lakin Sina maana kwamba ATA APA naweza kukosa mtu sahihi ambae kamwe hatoninyanyasa Mimi na mtoto wangu .Baba mtoto wako mtafute muishi Pamoja.
Ndio hivyo mtu wangu tushatengwaNingezama tatizo uhaya wangu umeniponza.
Kila la kheri.
Sifahamu kwasasa anaishi wapi Sina namba zake Sina mawasiliano nae na sifikilii kumtafuta kamweBaba mtoto yuko wapi?