Natafuta Mchumba

Natafuta Mchumba

Ungama hapa nakusikiliza mdogo angu, kwann uteseke na dhambi wakati tunakaribia kuingia kwaresima.??? 😜

Haya nini kinakutafuna funguka………
Nimekuwa mdogo wako leo hii mama?huna adabu na yaliyokuthibitishia hayo ndio yananitafuna kwa kutoa taarifa si sahihi!!!🤣
 
Nimekuwa mdogo wako leo hii mama?huna adabu na yaliyokuthibitishia hayo ndio yananitafuna kwa kutoa taarifa si sahihi!!!🤣
Nini tatizo.?? Unaonekana hauko sawa hata unacho type hakieleweki ujue bro..!!!
Usije kunjinyonga 😂😂😂

Kwani wifi kakuacha.??
 
Nini tatizo.?? Unaonekana hauko sawa hata unacho type hakieleweki ujue bro..!!!
Usije kunjinyonga 😂😂😂

Kwani wifi kakuacha.??
Hapana kamamaa!

Akiacha nitanyonga mtu,

Utaelewa tu.🤣
 
😂😂😂 Na wifi yangu mpo sawa kweli..??
Kabisa haina shida,ila kuna kitu nataka kufanya au nisikushirikishe?

Kabla ya yote natakiwa niombe msamaha kwa herufi kubwa kwenye mboni ya macho yake.
 
Kabisa haina shida,ila kuna kitu nataka kufanya au nisikushirikishe?

Kabla ya yote natakiwa niombe msamaha kwa herufi kubwa kwenye mboni ya macho yake.
Hebu nishirikishe mfyuu..!!
Mi si ndo dada mkubwa au unajisahulisha..??
Haya msamaha wa nini??
 
Sifa Zangu
Mm n wakiume [emoji1]
Mkristo
Nimejiajiri- (IT)


Sifa za Mchumba ×2
Awe wa Kike
Umri From 19-25
Dini Yeyote
Aishi Dar es Salaam
Vingine Tutaviongea [emoji120]

Njoo inbox Tuyajenge [emoji171]
Inbox Bado Nyeupe, au niifanye tenda kwa wabobevu [emoji26]
 
Back
Top Bottom