Njoo bashuna haja ya kuweka nakuja direct π
nfungulie nshafkaNjoo bas
Tayarinfungulie nshafka
asanteTayari
Fungua Pm nije kujitetea sasaasante
πππ Eeeh fanya utulieNgoja nitulie ili mpate shemeji Injinia wa umeme ndo mkimaliza ujenzi mnatuita tuwawekee wiring bure π€£π€£
we're openFungua Pm nije kujitetea sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hujibu pm yangu?
Dini tutatumia yako
Duuh! Mkuu hadi mbibi wa 29 unaoa?Umri 20-29
Okwe're open
(90s)Siulisema bado unadeka? πmim sio muislam ila nita slim mkuu tafadhal nazeekea nyumbani,, kuhusu umri ntakudanganya tu usihofuπ₯π₯
Hivi kumbe unaweza kuwa civil engineer na usiwe fundi mwashi? Au eng wa umeme halafu usiwe fundi umeme?Kwahiyo shemeji ni Eng wa umeme au fundi umeme?
Hata Civil Eng ni fundi lakini sio fundi mwashi ππ
Civil Eng ushamkuta juu ya nyumba anajenga boma/ anapaua?? Au kazi ni kuplan na kudirect mafundi sasa?Hivi kumbe unaweza kuwa civil engineer na usiwe fundi mwashi? Au eng wa umeme halafu usiwe fundi umeme?
Sikuhiz kilakitu tuna oda onlineNdugu yangu hivi mtaani umekosa madem mpk unakuja kutafuta online?
Yaan anafanya kazi Wizara ya nishatiMuajiliwa ndiyo nini? Hizi elimu mnazipataje?
kosa langu nini sasa si nataka wenzangu wapateSakazia tu wenzio
ooooh ah ayangoja tuwasubiri wagalatia na wakorintho wakijaπππAsante Kwa taarifa mwenyekiti,tatizo kigezo number Moja kimenitoa ulingoni mi Mkolosai