Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Awe na sifa hizi
✓awe mrefu wa wasitani
✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde
✓Asiwe na mtoto
✓Elimu kuanzia kidato cha nne
✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya
✓umri miaka 23 Hadi 27
✓Awe anapatikana Mwanza

Sifa zangu ni hizi
✓self employed
✓Elimu degree
✓miaka 27
✓ mrefu mweusi kidogo
✓dini muislam
✓kabila mnyambo
Kaoe karagwe tu wanawake wengine wakavu hawana maji, alafu awapendi kula ndizi.
 
Awe na sifa hizi
✓awe mrefu wa wasitani
✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde
✓Asiwe na mtoto
✓Elimu kuanzia kidato cha nne
✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya
✓umri miaka 23 Hadi 27
✓Awe anapatikana Mwanza

Sifa zangu ni hizi
✓self employed
✓Elimu degree
✓miaka 27
✓ mrefu mweusi kidogo
✓dini muislam
✓kabila mnyambo
Unatarajia mchumba kweli au kinyago?
 
Ujue haukuonyesha jinsia mkuu

Una bahati siku hizi madonati hayapo active sana yangefika pm yakwambie yanayowasibu
 
Awe na sifa hizi
✓awe mrefu wa wasitani
✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde
✓Asiwe na mtoto
✓Elimu kuanzia kidato cha nne
✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya
✓umri miaka 23 Hadi 27
✓Awe anapatikana Mwanza

Sifa zangu ni hizi
✓self employed
✓Elimu degree
✓miaka 27
✓ mrefu mweusi kidogo
✓dini muislam
✓kabila mnyambo
Mnyambo wa wapi Ankoli!!
Nenda kule karagwe kaisho totoz zipo za kutosha!kwanini utafute humu!!?

Hakuna malaika humu,ni hao hao unaowaona mtaani!
 
Awe na sifa hizi
✓awe mrefu wa wasitani
✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde
✓Asiwe na mtoto
✓Elimu kuanzia kidato cha nne
✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya
✓umri miaka 23 Hadi 27
✓Awe anapatikana Mwanza

Sifa zangu ni hizi
✓self employed
✓Elimu degree
✓miaka 27
✓ mrefu mweusi kidogo
✓dini muislam
✓kabila mnyambo
Waha wana adabu sana....
Wala siyo wabishi....ila wanapenda kusimamia kilicho sahihi.
Waha wana akili sana, siyo rahisi kumburuza muha.

Kwa kupenda kwao kusimamia kilicho sahihi, kunapelekea waonekane wabishi.


Waha siyo WACHAFU

Uchafu ni hulka binafsi.
 
nmewahi siti ya mbele kabisa 😫😫,,ila mweusi tii,nna mtoto,sipo mwanza😫😫

Nshakosa tayar 😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
sasa si ukae kimya, unajichekesha nini hapa? ndo maana ni singo maza.
 
Awe na sifa hizi
✓awe mrefu wa wasitani
✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde
✓Asiwe na mtoto
✓Elimu kuanzia kidato cha nne
✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya
✓umri miaka 23 Hadi 27
✓Awe anapatikana Mwanza

Sifa zangu ni hizi
✓self employed
✓Elimu degree
✓miaka 27
✓ mrefu mweusi kidogo
✓dini muislam
✓kabila mnyambo
Humu hakuna mke utapoteza muda wako kuna wauza sura ya Simba wengi sana.
 
Awe na sifa hizi
✓awe mrefu wa wasitani
✓awe mweupe kidogo au maji ya kunde
✓Asiwe na mtoto
✓Elimu kuanzia kidato cha nne
✓kabila lolote isipokuwa muha na mkurya
✓umri miaka 23 Hadi 27
✓Awe anapatikana Mwanza

Sifa zangu ni hizi
✓self employed
✓Elimu degree
✓miaka 27
✓ mrefu mweusi kidogo
✓dini muislam
✓kabila mnyambo

Aisee kuna rafiki yangu mmoja wa kike aliniomba ni mtafytie mwanaume wa kumuoa ambaye yuko serious 🤔 huyo mwanamke ni mshkaji wangu tu ila aliwahi kuwa na mahusiano ambayo alitarajia ndoa lkn aliachwa, kama huto jali tunaweza kuwasiliana kama uko serious ila nafahamu hadi umepost huku nadhani kweli una uhitaji wa mke unaweza kunicheck if you are ready
 
sasa si ukae kimya, unajichekesha nini hapa? ndo maana ni singo maza.
ukipgwa tukio uko unakuja kumalzia hasira zako kwangu,,peleka kinyeo uko mxiuuu,,kaa kimya janaume maneno ka mke wa balozi.
 
Back
Top Bottom