Natafuta mchumba

Natafuta mchumba

Habari mimi ni kijana wa miaka 33 ni mfanyabiashara ndogo ndogo Natafuta mchumba
Awe chini ya miaka 28
Awe mkristo
Awe Arusha/Moshi
Awe na Ajira
AHSANTE
Kuna mjukuu wangu ni mrembo kweli kweli, halafu ninafanya naye kazi kwenye kampuni moja ya ulinzi hapa jijini Tanga! Anaitwa ephen_!! Anagonga watu virungu huyo!! Acha kabisa.

Je, uko tayari nikuunganishe naye.?Wewe si unataka mwanamke mwenye ajira!
 
Kuna mjukuu wangu ni mrembo kweli kweli, halafu ninafanya naye kazi kwenye kampuni moja ya ulinzi hapa jijini Tanga! Anaitwa ephen_!! Anagonga watu virungu huyo!! Acha kabisa.

Je, uko tayari nikuunganishe naye.?Wewe si unataka mwanamke mwenye ajira!
Huyo wa virungu odeee Mangi
 
Back
Top Bottom