Natafuta mchumba

Kuna mtu kaniuliza hapa,hutojali kama ni 'bwawa' au 'kisima'? na je wewe pingili yako ni kipimo gani? yeye ana sifa zako zote.
 
Kwa wenye upeo wa mbali, wa umri wa miaka 22 atakuwa bado anasoma labda umsubiri, Mchumba hutampata utaishia kudanganywa tu, we tafuta mke.Hapo utampata aliye serious.

Huo ndio mtazamo na ushauri wangu kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…