natafuta mchumba,,,,,

Maskini jamvi la wana jf!hii taabu tupu, kuna tija hapa kwa muskabali wa maendeleo ya taifa-hii imenitisha sana kama ndo aina ya mijadala tunayoleta hapa
 
ushaambiwa,iweje umtishie mke wa jirani talaka.shauri yako ngoja ukamatwe ugoni bila hatia.mie wa uporoto1 mwingine sihitaji coz ananipa ambavyo wanaume wengine hamuwezi kunipa.lol

Asante leo ntalala fofofo.

hujaonja za wengine, ndo maana hujui utamu wake

We afande vipi haitaji kuonja vingine karidhika na anachopata kwangu.

hoja yako imekaa kimtego,nikijibu naweza vunja ndoa yangu na uporoto1.

Usihofu baby kuwa huru vilivounganishwa juu hawa wa mchangani wasikutie hofu.

halafu honey where are you,I miss u so bad hadi napata homa huku,hebu njoo uutulize moyo wangu unaotapatapa kwa kukosa kukuona.
I send you milion kisses and hugs:love::A S kiss::A S-rose:

Nimestuka usingizini, 'nikilala naoota naoota kama unaniita...' mimi hapa malkia wangu.
 
Maskini jamvi la wana jf!hii taabu tupu, kuna tija hapa kwa muskabali wa maendeleo ya taifa-hii imenitisha sana kama ndo aina ya mijadala tunayoleta hapa

Mzee wangu nimegundua we ni mgeni hapa ukiingia kwenye geti la JF utakuta kuna milango mingi ya kuingia kama siasa,uchaguzi,mchanganyiko,biashara.picha na kadhalika sasa inabidi uchague unataka kwenda wapi.Kuna kundi letu kubwa tu huwa tunaanzia kwenye picha,mahusiano,utani,tunamalizia mambo ya kikubwa.Ukiona hapa hapakufai chagua milango ile mingine ukishaingia getini,karibu sana mzee kwa heshima na taadhima.
 
Last edited by a moderator:

you sure?? Nime ku pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…