natafuta mchumba,,,,,

natafuta mchumba,,,,,

Roho ziko nyingi kuna za mwanga na za giza.je we roho gani imekupa maono.tcare
 
mimi nimepata maono kama yako, nafikiri ni mimi umeniona kwenye maono tupange kuonana
 
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL

Waoooo, aisee huyu ni mimi maana shati la kitenge na 4angle ndiyo mavazi yangu mimi kwaya master , jioni nikiwa natunga nyimbo navaa t-shart na jinz
 
mjomba unaonaje ukajiafagilia mwenyewe bila kuingiza washkaji................!
wake zao wakikuuliza ulijuaje utajitetea vipi kiongozi...................!
ni ushauri tu tehe tehe tehe.......................!

mimi mwenyewe nimepigwa na butwaa, maana wake zao mbali sana yaani we jiulize dume linasifia dhakar ya dume mwenzie.............au mabo ya pole samaki
 
Usiamini kila ndoto ,ndoto zingine zinatoka kwa shetani take care
 
Cheusi mpenzi hujambo ? mbona kimya kingi ? huonekani mitaa hii.

cjambo mpenzi,jf siku hizi haina raha bila wewe ,ndo maana ukipotea nami napotea.hujambo lakini.?nimekumiss kweli kweli mpenzi wangu.
 
Waoooo, aisee huyu ni mimi maana shati la kitenge na 4angle ndiyo mavazi yangu mimi kwaya master , jioni nikiwa natunga nyimbo navaa t-shart na jinz

nyie si huwa mnaoteshwa kwa wanakwaya wenu?itakuaje utoke nje ya ngome.
 
cjambo mpenzi,jf siku hizi haina raha bila wewe ,ndo maana ukipotea nami napotea.hujambo lakini.?nimekumiss kweli kweli mpenzi wangu.

Sijambo laaziz barafu wa moyo wangu,hata mimi nimekumiss sio kipolepole,maombi yako yalisaidia bosi kwa mara ya kwanza kacheka ofisini watu wakashangaa.Lala salama na uamke salama.:love::love::love::A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
HAHAHAHAHAHA, Hahahah! aaaah! Cheusimangala! Umenichekesha sana leo. Hakyanani hii safi kweli. Asante bibiye.
 
Uliyemuona ktk maono hajazaliwa bado. Na sidhani kama hata mama yake kishaidaka hiyo mimba yake.
 
TALAKA TATU CHEUSI. UNA WANAUME WANGAPI?:embarrassed::embarrassed:

ushaambiwa,iweje umtishie mke wa jirani talaka.shauri yako ngoja ukamatwe ugoni bila hatia.mie wa uporoto1 mwingine sihitaji coz ananipa ambavyo wanaume wengine hamuwezi kunipa.lol
 
ushaambiwa,iweje umtishie mke wa jirani talaka.shauri yako ngoja ukamatwe ugoni bila hatia.mie wa uporoto1 mwingine sihitaji coz ananipa ambavyo wanaume wengine hamuwezi kunipa.lol

hujaonja za wengine, ndo maana hujui utamu wake
 
Sasa kama haujaonekana kwenye ndoto unamlaumu nani ? iweje utoe talaka kwa mke wa jirani ?

halafu honey where are you,I miss u so bad hadi napata homa huku,hebu njoo uutulize moyo wangu unaotapatapa kwa kukosa kukuona.
I send you milion kisses and hugs:love::A S kiss::A S-rose:
 
Back
Top Bottom