babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
ok :A S crown-1:.Hateful to me as the gates of Hades is that man who hides one thing in his heart and speaks another.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ok :A S crown-1:.Hateful to me as the gates of Hades is that man who hides one thing in his heart and speaks another.
Roho ziko nyingi kuna za mwanga na za giza.je we roho gani imekupa maono.tcare
nadhani ni roho ya nuru.
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
mjomba unaonaje ukajiafagilia mwenyewe bila kuingiza washkaji................!
wake zao wakikuuliza ulijuaje utajitetea vipi kiongozi...................!
ni ushauri tu tehe tehe tehe.......................!
Cheusi mpenzi hujambo ? mbona kimya kingi ? huonekani mitaa hii.
Waoooo, aisee huyu ni mimi maana shati la kitenge na 4angle ndiyo mavazi yangu mimi kwaya master , jioni nikiwa natunga nyimbo navaa t-shart na jinz
cjambo mpenzi,jf siku hizi haina raha bila wewe ,ndo maana ukipotea nami napotea.hujambo lakini.?nimekumiss kweli kweli mpenzi wangu.
Uliyemuona ktk maono hajazaliwa bado. Na sidhani kama hata mama yake kishaidaka hiyo mimba yake.
TALAKA TATU CHEUSI. UNA WANAUME WANGAPI?:embarrassed::embarrassed:cjambo mpenzi,jf siku hizi haina raha bila wewe ,ndo maana ukipotea nami napotea.hujambo lakini.?nimekumiss kweli kweli mpenzi wangu.
TALAKA TATU CHEUSI. UNA WANAUME WANGAPI?:embarrassed::embarrassed:
TALAKA TATU CHEUSI. UNA WANAUME WANGAPI?:embarrassed::embarrassed:
ushaambiwa,iweje umtishie mke wa jirani talaka.shauri yako ngoja ukamatwe ugoni bila hatia.mie wa uporoto1 mwingine sihitaji coz ananipa ambavyo wanaume wengine hamuwezi kunipa.lol
hujaonja za wengine, ndo maana hujui utamu wake
Sasa kama haujaonekana kwenye ndoto unamlaumu nani ? iweje utoe talaka kwa mke wa jirani ?