SAMWEPALIN
Member
- Nov 24, 2010
- 7
- 0
Usikate tamaa jitahid kuwa muwazi na kuwa serious watu wafahamu kwani biashara matangazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mimi ulioteshwa ebu ni PM,jamaniwapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
hahahahaha umenikumbusha style ya wapendwa kutafutiana mke ..nimepata maono ooh wewe ndo wangu wa milele ..na yeye anaenda kufunga na kuomba ili apate maono akirudi anarudi na jibu la Yes nimekubali mungu kanionyesha
Nadhani ulimuota Fidel80 ndo huwa anavaa hivyo
haya maono sometime tabu tupu.kipindi fulani nilipelekwa mpaka kwenye kanisa la chidumule pale kinondoni,kisa jirani yangu kapewa maono mie ndio wake wa milele,na mie kwa tamaa nikaongozana nae mpaka kwa chidumule pale biafra kushotohahahahaha umenikumbusha style ya wapendwa kutafutiana mke ..nimepata maono ooh wewe ndo wangu wa milele ..na yeye anaenda kufunga na kuomba ili apate maono akirudi anarudi na jibu la Yes nimekubali mungu kanionyesha
Nadhani ulimuota Fidel80 ndo huwa anavaa hivyo
mm mwenyewe natafuta mchumba ila sijui kama utanikubari kwani huku chini cna kitu kama uko tayari kuvumilia mimi niko tayari
hahaha, fide tena? hapa msameheni jamani.
cheusi upo wapi, ebu njoo uku!
Cheusimangala,
Maono yako ni sahihi. Mimi ndiye mwenye sifa hizo. Napatikana saa za asubuhi karibu na Coco Beach.
Usikate tamaa jitahid kuwa muwazi na kuwa serious watu wafahamu kwani biashara matangazo
mie maeneo hayo napatikana nyakati za magharibi,sasa hata cjui tufanyaje ili tutimize lengo.
Ukifika saa za magharibi imba wimbo wa 'akanana, akanana kaile kona, akanana, kaile nikeogola.X 5. Alafu chukua mchanga kidogo upake kwenye nyonyo; saa hiyo hiyo mie nitafika katika upepo mkali.
Ukisikia upepo, wewe sema kwa sauti ya chini: Nyegela Ta Kashaijabutege. Nitafika na mfungisha ndoa na tutaenda honeymoon Comoro. Mimi ndugu zangu wanakaa baharini. Mume umepata mama. Mambo yangu sirini ni kama huyu bwana :kev:
sasa jamani niwe muwazi na serious zaidi ya hapa?mbona niko siriaz,au nyie mnachukulia utani.
Cheusi basi tangaza kuwa maono yako yametimia kwa Kashaijabutege.
mpaka nywele ziache kusisimka ndo ntatangaza,ucjali vuta subira,mie na wewe lazima tuwe mwili mmoja.
Cheusie my grandie.... bado hujapata tu? Babu naanza kupanga mahari huku.
Yoyoooooo....Whatz Up shoreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeyyyyyy😱😱wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
nishafall inlove babu,shaka ondoa,muda si mrefu naenda kufanya matembezi madhabahuni.
Unamuonaje? Mahari twaweza pata Pick up Toyota Stout au nitarajie mkeka na kinu?