natafuta mchumba,,,,,

natafuta mchumba,,,,,

Usikate tamaa jitahid kuwa muwazi na kuwa serious watu wafahamu kwani biashara matangazo
 
you ar finding a.............a, your missing rib! hope wenyew wamekusikia.
 
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
Ni mimi ulioteshwa ebu ni PM,jamani
 
hahahahaha umenikumbusha style ya wapendwa kutafutiana mke ..nimepata maono ooh wewe ndo wangu wa milele ..na yeye anaenda kufunga na kuomba ili apate maono akirudi anarudi na jibu la Yes nimekubali mungu kanionyesha
Nadhani ulimuota Fidel80 ndo huwa anavaa hivyo

hahaha, fide tena? hapa msameheni jamani.
cheusi upo wapi, ebu njoo uku!
 
hahahahaha umenikumbusha style ya wapendwa kutafutiana mke ..nimepata maono ooh wewe ndo wangu wa milele ..na yeye anaenda kufunga na kuomba ili apate maono akirudi anarudi na jibu la Yes nimekubali mungu kanionyesha
Nadhani ulimuota Fidel80 ndo huwa anavaa hivyo
haya maono sometime tabu tupu.kipindi fulani nilipelekwa mpaka kwenye kanisa la chidumule pale kinondoni,kisa jirani yangu kapewa maono mie ndio wake wa milele,na mie kwa tamaa nikaongozana nae mpaka kwa chidumule pale biafra kushoto
kufika huko ikawa sala sala mara simama mara inua mkono mara imeni mara sijui nini aah mi nilitimiza kilinishinda nilipoambiwa nipite mbele kutoa ushuhuda,nikasema BIG NOO,na huyu mchuchu alienipeleka akasema basi kama hupiti mbele sio wewe niliyepewa maono,ah nikasema potelea karibu.
si unajua ukiwa na nyagi mukichwa halafu mambo ya kusimama madhabahuni waweza piga mwereka na ukampokea bwana kikwelikweli wakati ulikua unafanya matani😎😎
 
mm mwenyewe natafuta mchumba ila sijui kama utanikubari kwani huku chini cna kitu kama uko tayari kuvumilia mimi niko tayari
 
Cheusimangala,

Maono yako ni sahihi. Mimi ndiye mwenye sifa hizo. Napatikana saa za asubuhi karibu na Coco Beach.
 
mm mwenyewe natafuta mchumba ila sijui kama utanikubari kwani huku chini cna kitu kama uko tayari kuvumilia mimi niko tayari

huna miguu au,kama ndio uliipotezeje.
hilo sio tatizo kama wewe ndie mteule.
 
mie maeneo hayo napatikana nyakati za magharibi,sasa hata cjui tufanyaje ili tutimize lengo.

Ukifika saa za magharibi imba wimbo wa 'akanana, akanana kaile kona, akanana, kaile nikeogola.X 5. Alafu chukua mchanga kidogo upake kwenye nyonyo; saa hiyo hiyo mie nitafika katika upepo mkali.

Ukisikia upepo, wewe sema kwa sauti ya chini: Nyegela Ta Kashaijabutege. Nitafika na mfungisha ndoa na tutaenda honeymoon Comoro. Mimi ndugu zangu wanakaa baharini. Mume umepata mama. Mambo yangu sirini ni kama huyu bwana :kev:
 
Ukifika saa za magharibi imba wimbo wa 'akanana, akanana kaile kona, akanana, kaile nikeogola.X 5. Alafu chukua mchanga kidogo upake kwenye nyonyo; saa hiyo hiyo mie nitafika katika upepo mkali.

Ukisikia upepo, wewe sema kwa sauti ya chini: Nyegela Ta Kashaijabutege. Nitafika na mfungisha ndoa na tutaenda honeymoon Comoro. Mimi ndugu zangu wanakaa baharini. Mume umepata mama. Mambo yangu sirini ni kama huyu bwana :kev:

mbona nywele zinanisisimuka.usije ukawa pepo mwnyeji wa kuzimu,ngoja nifanye kwanza maombi ntakupa jibu.
 
wapwa na mabinamu zangu babu na mabibi,jana usiku nimepata maono,nimeoneshwa kuwa mwenza wangu yuko hapa jamii forum.
Nimeoneshwa taswira ya mwenza wangu kwa mbali lkn sura sijaiona vizuri ila nakumbuka ktk maono nilimuona kavaa shati la kitenge na viatu vya four angle,mara ghafla akavaa kwa style niipendayo ya jeans na tshirt na raba nikachanganyikiwa.
Niko ktk maombi kumuomba 'roho' anitafsirie haya maon sababu siko singo lkn ktk maoni roho anasisitiza mwenza wangu yuko hapa.
''NAKUTAFUTA WEWE ULIYEOTESHWA KUWA I CHEUSIMANGALA NIMETOLEWA UBAVUNI MWAKO''
LUV YOU ALL
Yoyoooooo....Whatz Up shoreeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeyyyyyy😱😱
 
Unamuonaje? Mahari twaweza pata Pick up Toyota Stout au nitarajie mkeka na kinu?

ananifaa kwa viwango vyangu, ila kwa sasa tegemea mkeka na kinu kwanza huku tukimuombea mambo yake yende vizuri coz hana muda mrefu toka apewe msamaha wa rais.
 
Back
Top Bottom