Natafuta mdada pikapakua

co fm

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2016
Posts
1,541
Reaction score
2,487
Nina 25 age, nimepanga nina kila kitu ndani kwanzia sofa, tv tena DStv, nyumba ni self tena ina tiles ila sijakamilika kitu kimoja sina manzi au demu wa kuishi nae humo ndani…

Hivyo basi Kama una dada au mdogo age yake chini ya 22,mweupe ana sura nzuri karibu inbox.

Mara nyingi huwa nachagua sana na mimi huwa napenda mwanamke kidogo elimu ipo,nilikuwa na demu hata ngeli ya kimahaba hana so kama kuna msichana mwenye vigezo hivyo karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…