Natafuta mdada pikapakua

Natafuta mdada pikapakua

Me Nisha date na demu wa kila level
Aliyeishia chekechea,wa la pil,wa la Saba,wa form four Tena ndo wengi,na wa chuo,na mwenye Ajira kbs....lakini huwezi amini aliyenoga Sana NI huyu wa kuishia la Saba..sijui labda pia huenda kwa kuwa anajua Nina kazi Nina uwezo wa kumwachia hela ya mezani ndo maana kaamua anipende mzima mzima but ishu kubwa wanakuwa wavulimivu Sana na hawanyimi penzi km unavyojua sisi wanaume ukilala na mwali lzima TU usiku idinde..aliyesoma yeye akiwa siku zake hakupi ila mdogo mdogo huyu wa la Saba fresh unavaa zako condom unapiga Cha chap mnaoga analala..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa wenye kazi na wa chuo unakuta washatumika sana


Halafu wana dharau na ndio mafeminist wa kubwa sana utashangaa hata kupika hataki anakwambia tukanunue mgahawani amechoka

Inshort wanaringa sana na ndio wanajiona wapo kwenye soko


Ila demu ukishamzidi kila kitu heshima inakuja automatically bila ubishi




Kwa huyo bi dada ndege john umeotea ukimfungulia na kibiashara ndio atakuwa hasikii ambiwi chochote kuhusu wewe atakuona Mungu mtu
 
Nina 25 age,nimepanga nina kila kitu ndani kwanzia sofa,tv tena DStv,nyumba ni self tena ina tiles ila sijakamilika kitu kimoja sina manzi au demu wa kuishi nae humo ndani…Hivyo basi Kama una dada au mdogo age yake chini ya 22,mweupe ana sura nzuri karibu inbox.Mara nyingi huwa nachagua sana na mimi huwa napenda mwanamke kidogo elimu ipo,nilikuwa na demu hata ngeli ya kimahaba hana so kama kuna msichana mwenye vigezo hivyo karibu.
Pale Lumumba hawapo? Maana inaonekana wewe ni kada mtiifu wa chama cha majizi (CCM)
 
Nina 25 age,nimepanga nina kila kitu ndani kwanzia sofa,tv tena DStv,nyumba ni self tena ina tiles ila sijakamilika kitu kimoja sina manzi au demu wa kuishi nae humo ndani…Hivyo basi Kama una dada au mdogo age yake chini ya 22,mweupe ana sura nzuri karibu inbox.Mara nyingi huwa nachagua sana na mimi huwa napenda mwanamke kidogo elimu ipo,nilikuwa na demu hata ngeli ya kimahaba hana so kama kuna msichana mwenye vigezo hivyo karibu.
Chuo chenu mnafungua lini...?!
 
Hawa wenye kazi na wa chuo unakuta washatumika sana


Halafu wana dharau na ndio mafeminist wa kubwa sana utashangaa hata kupika hataki anakwambia tukanunue mgahawani amechoka

Inshort wanaringa sana na ndio wanajiona wapo kwenye soko


Ila demu ukishamzidi kila kitu heshima inakuja automatically bila ubishi




Kwa huyo bi dada ndege john umeotea ukimfungulia na kibiashara ndio atakuwa hasikii ambiwi chochote kuhusu wewe atakuona Mungu mtu
Au mwingine kupata pata vihela kdg akanunua kilo kumi za mchele basi anaanza kutangaza kwamba anakulisha [emoji1787][emoji1787]
 
Ha ha ha DSTV inakupa wenge na hizo tiles [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Me Nisha date na demu wa kila level
Aliyeishia chekechea,wa la pil,wa la Saba,wa form four Tena ndo wengi,na wa chuo,na mwenye Ajira kbs....lakini huwezi amini aliyenoga Sana NI huyu wa kuishia la Saba..sijui labda pia huenda kwa kuwa anajua Nina kazi Nina uwezo wa kumwachia hela ya mezani ndo maana kaamua anipende mzima mzima but ishu kubwa wanakuwa wavulimivu Sana na hawanyimi penzi km unavyojua sisi wanaume ukilala na mwali lzima TU usiku idinde..aliyesoma yeye akiwa siku zake hakupi ila mdogo mdogo huyu wa la Saba fresh unavaa zako condom unapiga Cha chap mnaoga analala..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huoni kuwa na mwanamke level ya chini ya elimu ni kuiweka future ya wanao rehani?
 
Hawa wenye kazi na wa chuo unakuta washatumika sana


Halafu wana dharau na ndio mafeminist wa kubwa sana utashangaa hata kupika hataki anakwambia tukanunue mgahawani amechoka

Inshort wanaringa sana na ndio wanajiona wapo kwenye soko


Ila demu ukishamzidi kila kitu heshima inakuja automatically bila ubishi




Kwa huyo bi dada ndege john umeotea ukimfungulia na kibiashara ndio atakuwa hasikii ambiwi chochote kuhusu wewe atakuona Mungu mtu

Mimi awe na elimu japo certificate kuishi na la saba ama four four hapana kwa kweli….Mama yangu mwenyewe ana degree sana nilete mkwe la saba si ntaonekana boya.
 
Mimi awe na elimu japo certificate kuishi na la saba ama four four hapana kwa kweli….Mama yangu mwenyewe ana degree sana nilete mkwe la saba si ntaonekana boya.
Mkuu siku hizi elimu ya darasani sio ishu wapo waliosoma lakini hawajitambua Tena unakuta kakosa Ajira kawa mdangaji bahati mbaya unampata wa hivyo na mwanzo anajificha hakuonyeshi makucha..pata wa form four ila mchakarikaji wapo kina mama wanafanya biashara hawajasoma ila wanaingiza kipato Zaid ya watumishi wengi wa umma..mpate wa hivyo hutojutia kaka
 
Back
Top Bottom