Natafuta mdada pikapakua

Hawa wenye kazi na wa chuo unakuta washatumika sana


Halafu wana dharau na ndio mafeminist wa kubwa sana utashangaa hata kupika hataki anakwambia tukanunue mgahawani amechoka

Inshort wanaringa sana na ndio wanajiona wapo kwenye soko


Ila demu ukishamzidi kila kitu heshima inakuja automatically bila ubishi




Kwa huyo bi dada ndege john umeotea ukimfungulia na kibiashara ndio atakuwa hasikii ambiwi chochote kuhusu wewe atakuona Mungu mtu
 
Pale Lumumba hawapo? Maana inaonekana wewe ni kada mtiifu wa chama cha majizi (CCM)
 
Chuo chenu mnafungua lini...?!
 
Au mwingine kupata pata vihela kdg akanunua kilo kumi za mchele basi anaanza kutangaza kwamba anakulisha [emoji1787][emoji1787]
 
Ha ha ha DSTV inakupa wenge na hizo tiles [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 

Huoni kuwa na mwanamke level ya chini ya elimu ni kuiweka future ya wanao rehani?
 

Mimi awe na elimu japo certificate kuishi na la saba ama four four hapana kwa kweli….Mama yangu mwenyewe ana degree sana nilete mkwe la saba si ntaonekana boya.
 
Mimi awe na elimu japo certificate kuishi na la saba ama four four hapana kwa kweli….Mama yangu mwenyewe ana degree sana nilete mkwe la saba si ntaonekana boya.
Mkuu siku hizi elimu ya darasani sio ishu wapo waliosoma lakini hawajitambua Tena unakuta kakosa Ajira kawa mdangaji bahati mbaya unampata wa hivyo na mwanzo anajificha hakuonyeshi makucha..pata wa form four ila mchakarikaji wapo kina mama wanafanya biashara hawajasoma ila wanaingiza kipato Zaid ya watumishi wengi wa umma..mpate wa hivyo hutojutia kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…