πππ hiyo TV itakuwa kali kinyamaChamkia fursa uwe binadamu wa pili kuiona hiyo aina ya TV.
Muhaya asiyejua kutongoza dah so sadππππMhaya una sifa sanaπ€£π€£π€£
Bi mkubwa hajasoma so hakuna matataMimi awe na elimu japo certificate kuishi na la saba ama four four hapana kwa kweliβ¦.Mama yangu mwenyewe ana degree sana nilete mkwe la saba si ntaonekana boya.
Nlikuwa najua nmemaliza yote kumbe kuna hadi madalali wa pis kali?Mkuu Kama uno serious kweli nataka nikupatie mtoto wa kimakonde au kimwera ambaye licha ya kukupikia kila siku na kukufulia pia atakuwa anakupa mapenzi mengi mpk uchanganyikiwe...mchawi pesa ya barua TU 50000,kanga ya mama mkwe na mazaga zaga kidogo Kama zawadi na wewe utambulike kwao Basi Tena wengi waislam atabadili kuja KWAKO Kama we mgalatia..week hiohio mnaanza maisha nakutafutia bonge ya pc huko rondo kwa kina bernad membe Kama uko serious njoo PM.nilikuwa na shida Kama yako Nika isolve vzr tu.
Mkuu,umri sio kigezo cha kupevuka akili,unaweza ukawa na umri wa miaka 25 kama wewe lakini una akili za bint mwenye miaka 15,Miaka 25 bado mtoto
Kama wameolewa nenda wewe sasaBahati mbaya wote wameolewa
Vyote ni bure yaniπBhru vipi wakati anakuwa anaangalia dstv bure na anakula bure
Una nyege mbaya sana, hizi ukipeleka pale tanesco tunazalisha umeme
Malizia na katusi kadogohako ka kochi, ka tv na dstv basi unajiona fazaaaa mpaka unatafuta binti ya mtu tena kadogo dogo ukaweke ndani. Pimbi we.
Maisha ni zaidi ya hapo.