Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
[emoji23][emoji23][emoji23] hawakujui vzuri mkuu waoneshee mzee baba [emoji23][emoji23]Muda wa kuzungukia sina Nipo busy,na wengine wanaringa Sema hawanijui vzr
Wew Kunguru kuwa makini usije ukamzidi hadi wowowo sasa [emoji23][emoji23]Ni kweli kabisa
Hii formula yako naichukua
Mwanamke unatakiwa umzidi kila kitu
Huko hapana aiseeWew Kunguru kuwa makini usije ukamzidi hadi wowowo sasa [emoji23][emoji23]
Ushawah kumuona kunguru jamii forum ?Nlidhan nshaona yote[emoji38][emoji38][emoji38]
Mwaka gani?Acha dharau mkuu…Chuo nishamaliza kitambo pale coet jalalani.
*****[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]Una nyege mbaya sana, hizi ukipeleka pale tanesco tunazalisha umeme
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nakufaUna nyege mbaya sana, hizi ukipeleka pale tanesco tunazalisha umeme
Ushawah kumuona kunguru jamii forum ?
Nina 25 age, nimepanga nina kila kitu ndani kwanzia sofa, tv tena DStv, nyumba ni self tena ina tiles ila sijakamilika kitu kimoja sina manzi au demu wa kuishi nae humo ndani…
Hivyo basi Kama una dada au mdogo age yake chini ya 22,mweupe ana sura nzuri karibu inbox.
Mara nyingi huwa nachagua sana na mimi huwa napenda mwanamke kidogo elimu ipo,nilikuwa na demu hata ngeli ya kimahaba hana so kama kuna msichana mwenye vigezo hivyo karibu.
Mna muda gani na shemeji wa huko kusini?Mkuu Kama uno serious kweli nataka nikupatie mtoto wa kimakonde au kimwera ambaye licha ya kukupikia kila siku na kukufulia pia atakuwa anakupa mapenzi mengi mpk uchanganyikiwe...mchawi pesa ya barua TU 50000,kanga ya mama mkwe na mazaga zaga kidogo Kama zawadi na wewe utambulike kwao Basi Tena wengi waislam atabadili kuja KWAKO Kama we mgalatia..week hiohio mnaanza maisha nakutafutia bonge ya pc huko rondo kwa kina bernad membe Kama uko serious njoo PM.nilikuwa na shida Kama yako Nika isolve vzr tu.