Natafuta mdada pikapakua

Nlidhan nshaona yote[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Jeshi langu Zero IQ njoo mpe madini mdogo wako kapata boom anataka wakumsindikiza kulitumbua

Ila dogo nakushauri tumia vizur boom litaisha vby
 

Dogo ungekuwa unamiliki mjengo wa maana, usafiri wa uhakika, biashara na vijisenti vya mboga kama sisi baba zako, naamini ungesumbua sana mtaani.
 
Mna muda gani na shemeji wa huko kusini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…