McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,070
- 12,596
ila pia inawezekana ni udomo zege......unatongozea nyuma ya keyboard..kwann asitafute mmoja wa hapo kitaani kwake mbona atampata kwasababu hela si anazo!!Hahahaa. Kama ni kweli hajajua kuwaza mbali.