Shemasi 3rd
Member
- Jun 1, 2024
- 98
- 104
- Thread starter
- #21
Unaweza ukawa unajua lakini sio kila kitu ndg things changeKumbe bado sijui english asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza ukawa unajua lakini sio kila kitu ndg things changeKumbe bado sijui english asee
Kweli kabisa Poltics ni kingereza sahihi kabisa kwenye Cover na Yoiuth ni kingereza sahihi kabisa kwenye Cover na Develolopment ni kingereza sahihi kabisa kwenye Cover Ila tatizo ni moja tu anaesema umekosea yeye anatumia english version ya 1980 wakati wewe unatumia english version ya 2000 upo sahihi kabisa
Muoneshe hii hatafu mbona inatumika mda sana hasa European Union
Nimejua kwanini unatafuta Manager, utapata tuNtafuta meneja atakaye weza kunisimamia katika kazi zangu hizi.. namba yangu ni 0711359904
Ndio maana nikamwambia UPO sahihi kabisa
develolopment?Muoneshe hii hatafu mbona inatumika mda sana hasa European Union
Ameshaona naona ndio amesoma na kuona leoMuoneshe hii hatafu mbona inatumika mda sana hasa European Union
Never give up una kazi nzuri unahitaji Manager tu basi tuvuke upande wa pili, cheersUna tatizo wewe sio bure any way 😎
Na wewe mjuaji mwingine umekuja? Sasa unataka nitoboe mara ngapi ?Hii ni fasihi mkuu sema siwezi kuku judge sana 🙏develolopment?
kweli wewe bila manager hutoboi
Nashukuru kama kaiona maana nimesoma lugha zaidi ya 5 na bado nasoma.. ije inishinde lugha hii nyepesi kabisaAmeshaona naona ndio amesoma na kuona leo
Nashukuru kama kaiona maana nimesoma lugha zaidi ya 5 na bado nasoma.. ije inishinde lugha hii nyepAmeshaona naona ndio amesoma na kuona leo
Kabisa nduguNever give up una kazi nzuri unahitaji Manager tu basi tuvuke upande wa pili, cheers
ChineseNashukuru kama kaiona maana nimesoma lugha zaidi ya 5 na bado nasoma.. ije inishinde lugha hii nyepesi kabisa
Thats true nipo kujifunza aksante kwa kitu kipyaUnaweza ukawa unajua lakini sio kila kitu ndg things change
Kongole sana ndg lazima tujifunze kila siku🙏Chinese
Spanish
French
Portugal
Japanese
HIZO hapo ukiongezea kingereza 6 na Kiswahili 7
develolopment? huoni alama ya kuuliza hapo?Na wewe mjuaji mwingine umekuja? Sasa unataka nitoboe mara ngapi ?Hii ni fasihi mkuu sema siwezi kuku judge sana 🙏
Kwamba bila manager sitoboi hioni kama ni kejeri? Ndio maana nimekuita mjuaji fanya uchunguzi kabla hujasema au kufanya jambo..develolopment? huoni alama ya kuuliza hapo?
Kuniita mjuaji tayari umeshani-judge
Sawa shukran mkuu🙏
Oi!, parece como temos os três idiomas em comun os que falamos eu e você , Tambem eu aprendi Espanhol, Português e Francês. Se não se importa podemos nos ligar na google-meet ou zoom pra fazer alguns praticos??.Chinese
Spanish
French
Portugal
Japanese
HIZO hapo ukiongezea kingereza 6 na Kiswahili 7