Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

kejeri ni nini?
sasa kama unatoboa unatafuta manager wa nini?
hasira za Umasikini wako usikufanye uje uwavae watu ambao hatuhusiki.. ndio nimetoa and nimekuzidi kila kitu kuanzia elimu hadi maisha...... Diamond,davido na wasanii wote wakubwa wanajiweza ila wanahitaji muongozo wa management...... # ukijiona una IQ ndogo usijihushe na matopiki makubwa kama haya unaaibisha ukoo wako#
 
Shemasi kaandika Greek😄
1000078243.jpg
 
kejeri ni nini?
sasa kama unatoboa unatafuta manager wa nini?
Shemasi mjuaji sana! Hata meneja sidhani kama watawezana! Anajifanya anajua kila kitu! Develolopment..
Sisi tunamkumbusha tu makosa madogo madogo Tena kwenye Book Cover ni Bora typing errors zionekane ndani ya kitabu..
Au ndo Ile "Don't Judge A book By Its Cover"🤣
 
Shemasi mjuaji sana! Hata meneja sidhani kama watawezana! Anajifanya anajua kila kitu! Develolopment..
Sisi tunamkumbusha tu makosa madogo madogo Tena kwenye Book Cover ni Bora typing errors zionekane ndani ya kitabu..
Au ndo Ile "Don't Judge A book By Its Cover"🤣
Sasa Paroko amekupitisha kama kilivyo Deacon zaidi ya 6 wamekupitia na kimepita mimi nakwambia hakuna typing error ila ww unasema zipo sasa ndugu manager unabishana na mwandishi?
 
Sasa Paroko amekupitisha kama kilivyo Deacon zaidi ya 6 wamekupitia na kimepita mimi nakwambia hakuna typing error ila ww unasema zipo sasa ndugu manager unabishana na mwandishi?
Kwani paroko ndo wako perfect? Au kikipitiwa na hao deacons ndo kinakuwa kitakatifu? Hata huo mfano wa youth iliyokosewa, upo sehemu moja, ambayo nayo walikosea. Kuna mmoja alitaka kukusitiri kwenye fasihi, lakini umejiumbua kwa mambo mawili. La kwanza, kusema kwamba hayo maneno yanatumika hasa huko EU kunaondoa dhana kwamba uliyakosea kwa makusudi. La pili, kwa aina ya vitabu unavyoviandika, kukosea neno kwenye cover hakumaanishi ubobevu. Labda kama soko la vitabu vyako ni nduguzo na rafikizo. Anyway, they're your books, and so your ..amn business
 
Kwani paroko ndo wako perfect? Au kikipitiwa na hao deacons ndo kinakuwa kitakatifu? Hata huo mfano wa youth iliyokosewa, upo sehemu moja, ambayo nayo walikosea. Kuna mmoja alitaka kukusitiri kwenye fasihi, lakini umejiumbua kwa mambo mawili. La kwanza, kusema kwamba hayo maneno yanatumika hasa huko EU kunaondoa dhana kwamba uliyakosea kwa makusudi. La pili, kwa aina ya vitabu unavyoviandika, kukosea neno kwenye cover hakumaanishi ubobevu. Labda kama soko la vitabu vyako ni nduguzo na rafikizo. Anyway, they're your books, and so your ..amn business
Kunywa maji mkuu then relax ushaanza kuandika ujinga mambo ya utakatifu yana husiana nini hapa? .... mimi ndio mwandishi naakili timamu. ninacho sema HAKUNA TYPING ERROR mbona una lazimisha mambo kwamba kila kitu una kijua? Au unajua ndani kimeandikwa nini? Punguza ujuaji sio kila kitu unakijua vingine kubali hauvijui boss🙏
 
Kunywa maji mkuu then relax ushaanza kuandika ujinga mambo ya utakatifu yana husiana nini hapa? .... mimi ndio mwandishi naakili timamu. ninacho sema HAKUNA TYPING ERROR mbona una lazimisha mambo kwamba kila kitu una kijua? Au unajua ndani kimeandikwa nini? Punguza ujuaji sio kila kitu unakijua vingine kubali hauvijui boss🙏
1000078288.jpg
soma sana mkuu bado hujajua kila kitu
 
Habari wakuu

Naitwa Shemasi Pascal Weston. Kutoka St. Joseph Dar es salaam

Ni muandishi wa vitabu mbalimbali vya Sheria, Haki za binaadamu, motivation pamoja na kufanya research mbalimbali

Mpaka sasa nimesha andika vitabu zaidi ya 6 kama nilivyo weka cover zake hapo chini.

View attachment 3005595View attachment 3005596View attachment 3005608 Ntafuta meneja atakaye weza kunisimamia katika kazi zangu hizi.. namba yangu ni 0711359904
Any ways Mimi nimejiongeza nikakuelewa shemasi lakini haujaweka bei🤣🤣
Kitabu kimoja unakiuzaje sasa hasa hiko cha empowerment echoes
 
Habari wakuu

Naitwa Shemasi Pascal Weston. Kutoka St. Joseph Dar es salaam

Ni muandishi wa vitabu mbalimbali vya Sheria, Haki za binaadamu, motivation pamoja na kufanya research mbalimbali

Mpaka sasa nimesha andika vitabu zaidi ya 6 kama nilivyo weka cover zake hapo chini.

View attachment 3005595View attachment 3005596View attachment 3005608 Ntafuta meneja atakaye weza kunisimamia katika kazi zangu hizi.. namba yangu ni 0711359904
Wewe ni kilaza
Acha kulazimisha vitu
 
Ni kweli lakini pia mwandishi wa fasihi ana ruhusa ya kuvunja sarufi ya lugha ili kukidhi alichokikusudia.

Pia mwandishi anaweza kuvunja sarufi ya lugha ili kuonesha mvurugano au mkanganyiko katika jamii yake,mfano kitabu cha The beutiful ones are not yet born,mwandishi kaandika the beautyful ones instead of beautiful,
Nafikiri Unatafuta kichaka cha kujificha.Typing error sio tatizo la mwandishi ni tatizo la mchapaji.Ndio maana kuna watu wanaitwa proof readers ambao hulipa kwa idadi ya makosa ya kisarufi n.k. ambayo awatayakuta kwenye andiko lako.

Katika Case ya Shemasi amezingua.Kuleta mockup ambazo zina makosa.Kma hizo typo zilizopo hapo ni intentional basi hii kazi sitaisoma.Cha Pili Ameandika Vitabu vingi sana.Hiyo ni dalili kwamba bdo anajifunza uandishi.So Kwa makosa tuliyoona tunamsamehe.

Swali JE Tunamsaidieje.Anataka Meneja wa Namna Gani?

Mwisho Shemasi Upadirisho wako ni Lini?Jimbo/Shirika Gani?
 
hasira za Umasikini wako usikufanye uje uwavae watu ambao hatuhusiki.. ndio nimetoa and nimekuzidi kila kitu kuanzia elimu hadi maisha...... Diamond,davido na wasanii wote wakubwa wanajiweza ila wanahitaji muongozo wa management...... # ukijiona una IQ ndogo usijihushe na matopiki makubwa kama haya unaaibisha ukoo wako#
wewe shemasi umenizidi kitu gani? labda kusoma Biblia na mimi nimekuzidi kusoma Quran.

Wewe kaa kanisani utumikie na kurusha chetezo.
 
Back
Top Bottom