Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

1.Unleashiing-UNLEASHING✍️

2.Yoiuth-YOUTH✍️

3.Poltics-POLITICS✍️

4.Develolopment-DEVELOPMENT✍️

5.Enchoes-ECHOES✍️

Wanaokukosoa nadhani lengo lao ni chanya zaidi ya unavyofikiri, Nimejiridhisha mwenyewe kuwa
Typing error zipo, kubali kukosolewa ndugu Shemasi🙏
 
1.Unleashiing-UNLEASHING✍️

2.Yoiuth-YOUTH✍️

3.Poltics-POLITICS✍️

4.Develolopment-DEVELOPMENT✍️

5.Enchoes-ECHOES✍️

Wanaokukosoa nadhani lengo lao ni chanya zaidi ya unavyofikiri, Nimejiridhisha mwenyewe kuwa
Typing error zipo, kubali kukosolewa ndugu Shemasi🙏
Unabishana na mm nilie andika? Nunua kitabu ujue kwann nimeweka hayo maneno kwenye cover
 
Nafikiri Unatafuta kichaka cha kujificha.Typing error sio tatizo la mwandishi ni tatizo la mchapaji.Ndio maana kuna watu wanaitwa proof readers ambao hulipa kwa idadi ya makosa ya kisarufi n.k. ambayo awatayakuta kwenye andiko lako.

Katika Case ya Shemasi amezingua.Kuleta mockup ambazo zina makosa.Kma hizo typo zilizopo hapo ni intentional basi hii kazi sitaisoma.Cha Pili Ameandika Vitabu vingi sana.Hiyo ni dalili kwamba bdo anajifunza uandishi.So Kwa makosa tuliyoona tunamsamehe.

Swali JE Tunamsaidieje.Anataka Meneja wa Namna Gani?

Mwisho Shemasi Upadirisho wako ni Lini?Jimbo/Shirika Gani?
MANAGER NIMESHA MPATA.... then Shirika la wasalesiani wa Donbosco 2025.... karibu
 
Kabla huja comment jiridhishe sana mkuu najua nacho kifanya mbaka nafikia level ya U shemasi sijarushwa tu nimepitia hatua zote. So hakuna Typing error hapo Asante.
Mbaka ❌
Mpaka✔️
kwenye kujieleza ulipochapia umechapia tena kiswahili tu chenga hiyo lugha nyeupe unashupaza shingo ya nini shemasi wa mchongo
 
Wabongo ujuaji ...MWANDISHI ANAKUAMBIA HAYO MANENO HAJAYAKOSEA KWENYE COVER KAANDIKA KWA MAKUSUDI KABISA AKIWA NA MAANA YAKE KATIKA UBUNIFU FULANI WA KIUANDISHI

ILI WABONGO TAYARI MPO MBIO KUHUKUMU COVER YA KITABU HII HATARI AISE
 
Tatizo sio katika cover tu, watu wamechakata hadi reply zake na kuzikuta dalili za 'ubabaishaji'. Ndio maana wanahoji labda kujiridhisha mwandishi yupo siriazi kweli?? Yote yatafanya kazi kutokeza wema tu kazi lazima isonge kwenye miba na maua, milima na tambarare
 
Back
Top Bottom