min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sawa mkuu😁😁😁😁🙄mataputapu ndio hufanya mtu asielewe kitu haraka.... hata beer temana nazo jitahidi uanze kutumia wine inasaidia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu😁😁😁😁🙄mataputapu ndio hufanya mtu asielewe kitu haraka.... hata beer temana nazo jitahidi uanze kutumia wine inasaidia sana
Kwaio na wewe ume copy na kupaste kutoka hapo?
Mwandishi shamasi anachangamoto ya matumizi ya R na L, tumvumilie..😁kejeri ni nini?
sasa kama unatoboa unatafuta manager wa nini?
Ungekuwa sio masikini usingekuja hapa kutafuta manager..hasira za Umasikini wako usikufanye uje uwavae watu ambao hatuhusiki.. ndio nimetoa and nimekuzidi kila kitu kuanzia elimu hadi maisha...... Diamond,davido na wasanii wote wakubwa wanajiweza ila wanahitaji muongozo wa management...... # ukijiona una IQ ndogo usijihushe na matopiki makubwa kama haya unaaibisha ukoo wako#
Hapana matapu tapu humfanya mtu KUWA na IQ kubwa wewe nani aliwahi fahamu KWAMBA mahindi ya ugali yanaweza KUWA pombemataputapu ndio hufanya mtu asielewe kitu haraka.... hata beer temana nazo jitahidi uanze kutumia wine inasaidia sana
Kaamua ajiajiri..😁atakuwa anabanwa sana kwenye sadaka na paroko sasa ana-stress kaona hailipi aanzishe kamradi kake hataki kamchezomchezo
Kazi ya Ushemasi hakufai jikite katika fani nyingine..😁Muulize mama yako kama mimi ni kilaza
Sidhani kama kuna shemasi hapo. Na kama ni kweli labda siyo wa Wakatoliki. Labda ni wa kwa Mzee wa Upako, Mwingira, Kapola na Mwamposa. Sad!Shemasi katika ubora wako ulio tukuka.
Pole kunywa majiUngekuwa sio masikini usingekuja hapa kutafuta manager..
Ungekuwa sio masikini usingekuja hapa kutafuta manager..
Unakuja ki makabayo unataka ni deal na wewe ki mungu mungu? Fungua ubongo shenziSidhani kama kuna shemasi hapo. Na kama ni kweli labda siyo wa Wakatoliki. Labda ni wa kwa Mzee wa Upako, Mwingira, Kapola na Mwamposa. Sad!
Hii sio kazi poor boy..Kazi ya Ushemasi hakufai jikite katika fani nyingine..😁
Kuwa na heshima sema shemasi sio braza.... small mindAh we brazaa umechapia bhana kubali kuelekezwa .. af usikute anaekulekeza anataka aone kama unashaurika then akubali kuwa meneja wako, so ukikaza fuvu mapema hv, means utasumbua kwenye malipo😁🏃
Watoto njiti mna matatizo sana.Ungekuwa sio masikini usingekuja hapa kutafuta manager..
Shemasi katika ubora wako ulio tukuka.
Unakuja ki makabayo unataka ni deal na wewe ki mungu mungu? Fungua ubongo shenzi
Unajiita mafia 919Watoto njiti mna matatizo sana.
Pita mbali kijana ulie kosa adabuSidhani kama kuna shemasi hapo. Na kama ni kweli labda siyo wa Wakatoliki. Labda ni wa kwa Mzee wa Upako, Mwingira, Kapola na Mwamposa. Sad!
View attachment 3007373
hakuna mkatoliki mzembe Sema #Italian mafia# sio mafia... narudia tena uwe na adabu phoetusUnajiita mafia 919