Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

Hiyo picha ya kwenye jalada imetengenezwa kwa AI na jina lako umeliandika kama uko darasa la kwanza. Huna mhariri, na kama unaye, hajui anachokifanya.
___
Huko juu waambie wadau hayo si majadala halisi, ni mock-ups, na umetengeneza kwa AI ndiyo maana kuna typos.
Usijifarague kuwa uko sahihi ilhali ni makosa ya wazi.
 
Kuihusisha St Joseph Dar es salaam na lugha chafu ndio wamekufundisha tabia hizo wanataarifa na wewe kwa unachokiandka kwa kupitia mgongo wa wa st Joseph
Anae kujibu hapa ni Pascal sio St joseph... mpuuzi wewe usichanganye hisia za umasikini na mitandao
 
Hiyo picha ya kwenye jalada imetengenezwa kwa AI na jina lako umeliandika kama uko darasa la kwanza. Huna mhariri, na kama unaye, hajui anachokifanya.
___
Huko juu waambie wadau hayo si majadala halisi, ni mock-ups, na umetengeneza kwa AI ndiyo maana kuna typos.
Usijifarague kuwa uko sahihi ilhali ni makosa ya wazi.
Relax baby girl... kazi za kiume hizi
 
Shemasi wewe ndo mjuaji pro max. Kubali kukosolewa, so long as wewe ni binadamu huwezi kujua kila kitu. Na uache kiherehere
Baby girl kihere here ni wewe ulie ingia mazima kwenye maada za kiume.. nilikuwa natafuta manager nimesha mpata sio washauri
 
Habari wakuu

Naitwa Shemasi Pascal Weston. Kutoka St. Joseph Dar es salaam

Ni muandishi wa vitabu mbalimbali vya Sheria, Haki za binaadamu, motivation pamoja na kufanya research mbalimbali

Mpaka sasa nimesha andika vitabu zaidi ya 6 kama nilivyo weka cover zake hapo chini.

View attachment 3005595View attachment 3005596 Ntafuta meneja atakaye weza kunisimamia katika kazi zangu hizi.. namba yangu ni 0711359904
AI Generated Book Cover, Kweli kama umetunga vitabu 6 ushindwe kupiga picha za uhalisia mpaka uweke za AI?

Au unataka kupiga watu?
 
AI Generated Book Cover, Kweli kama umetunga vitabu 6 ushindwe kupiga picha za uhalisia mpaka uweke za AI?

Au unataka kupiga watu?
1000078493.jpg
 
Back
Top Bottom