kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Unakariri ✅Una kariri sana mkuu
Hariri maneno yako kabla hujayachapisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakariri ✅Una kariri sana mkuu
Matajiri hawaandiki kwa herufi kubwa zote ... andika Tajiri utaeleweka masikini weweHamna neno la Kiswahili mbaka, ni mpaka
Sichapishi namjibu mjinga kulingana na level ya ujinga wakeUnakariri ✅
Hariri maneno yako kabla hujayachapisha.
Hiyo picha ya kwenye jalada imetengenezwa kwa AI na jina lako umeliandika kama uko darasa la kwanza. Huna mhariri, na kama unaye, hajui anachokifanya.
Tumia alama za uakifishaji ili kuzifanya sentensi zako zieleweke. Anza kujifunza matumizi ya mkato na nukta.Sichapishi namjibu mjinga kulingana na level ya ujinga wake
Anae kujibu hapa ni Pascal sio St joseph... mpuuzi wewe usichanganye hisia za umasikini na mitandaoKuihusisha St Joseph Dar es salaam na lugha chafu ndio wamekufundisha tabia hizo wanataarifa na wewe kwa unachokiandka kwa kupitia mgongo wa wa st Joseph
Relax baby girl... kazi za kiume hiziHiyo picha ya kwenye jalada imetengenezwa kwa AI na jina lako umeliandika kama uko darasa la kwanza. Huna mhariri, na kama unaye, hajui anachokifanya.
___
Huko juu waambie wadau hayo si majadala halisi, ni mock-ups, na umetengeneza kwa AI ndiyo maana kuna typos.
Usijifarague kuwa uko sahihi ilhali ni makosa ya wazi.
Shemasi wewe ndo mjuaji pro max. Kubali kukosolewa, so long as wewe ni binadamu huwezi kujua kila kitu. Na uache kiherehereWewe nae mjuaji unakaza fuvu kwenye mambo madogo kama hata ili uonekane
Watanzania sisi tunasumbuliwa sana na Afya ya akiri.. karibu kwa huduma St joseph
We huelewi relax. Mimi sio mwalim wa lughaTumia alama za uakifishaji ili kuzifanya sentensi zako zieleweke. Anza kujifunza matumizi ya mkato na nukta.
Baby girl kihere here ni wewe ulie ingia mazima kwenye maada za kiume.. nilikuwa natafuta manager nimesha mpata sio washauriShemasi wewe ndo mjuaji pro max. Kubali kukosolewa, so long as wewe ni binadamu huwezi kujua kila kitu. Na uache kiherehere
Uandishi ni kazi 'tukufu'. Lijue hili na likusaidie.Relax baby girl... kazi za kiume hizi
Sauti ya bufa tulia.. niwapapase hawa vi herehere wenzakoAkiri tena 🤣
Unanifundisha kazi?Uandishi ni kazi 'tukufu'. Lijue hili na likusaidie.
AI Generated Book Cover, Kweli kama umetunga vitabu 6 ushindwe kupiga picha za uhalisia mpaka uweke za AI?Habari wakuu
Naitwa Shemasi Pascal Weston. Kutoka St. Joseph Dar es salaam
Ni muandishi wa vitabu mbalimbali vya Sheria, Haki za binaadamu, motivation pamoja na kufanya research mbalimbali
Mpaka sasa nimesha andika vitabu zaidi ya 6 kama nilivyo weka cover zake hapo chini.
View attachment 3005595View attachment 3005596 Ntafuta meneja atakaye weza kunisimamia katika kazi zangu hizi.. namba yangu ni 0711359904
AI Generated Book Cover, Kweli kama umetunga vitabu 6 ushindwe kupiga picha za uhalisia mpaka uweke za AI?
Au unataka kupiga watu?
Nikutumie na vingine?
Wewe ni nani?Baby girl kihere here ni wewe ulie ingia mazima kwenye maada za kiume.. nilikuwa natafuta manager nimesha mpata sio washauri
Mimi ni Pascal Mwafilombe mwakamsafisha mtaro kutoka kwa wahuni ArushaWewe ni nani?