kimbomba25
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 1,160
- 2,117
Nimekwambia unapoandika nomino za kipekee anza na herufi kubwa.Mimi ni Pascal Mwafilombe mwakamsafisha mtaro kutoka kwa wahuni Arusha
Mwandishi gani wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekwambia unapoandika nomino za kipekee anza na herufi kubwa.Mimi ni Pascal Mwafilombe mwakamsafisha mtaro kutoka kwa wahuni Arusha
Roma mkatolikiView attachment 3007420
Msanii gani aliyechora picha ya hili jalada?
Habari yako, Muandishi naona umeomba kubadili jina.. Jina shemasi lina uhusiano na Kigogo2014?Mjinga kweli wewe wa kunitisha mimi? 😁 nenda kwenye account za kigogo 2014 kanitafute ujue nipoje... chunga sana
Mimi nilikuwa natafuta manager nimesha mpata sasa namalizana na nyie huku..Nimekwambia unapoandika nomino za kipekee anza na herufi kubwa.
Mwandishi gani wewe?
Shemasi gani una lugha chafu hivyo kwenye mitandao...?Anae kujibu hapa ni Pascal sio St joseph... mpuuzi wewe usichanganye hisia za umasikini na mitandao
Halina uhusiano mkuu nimemjibu huyo kwasababu ameenda fb kuchukua picha yangu na kuja kunitisha huku. Nikamwambia sijaanzq kutishiwa leo akitaka kunijua vizuri aende kwenye page za kigogo akanisome vizuri...... then issue ya vitabu vipo softy copy na hard copy ... ila kwa hard copy mbaka sasa vipo vitabu vitatu ambavyo ni hivi chini ........ kama upo dar es salaam ukitaka hard copy tunakuletea utachangia usafiri ila kama upo mkoan usafiri ni elf 5... bei ya vitabu imetofautiana inategemea unataka kipi ... pia softy copy tunatuma kwa bei nzuri kabisa no 0711359904Habari yako, Muandishi naona umeomba kubadili jina.. Jina shemasi lina uhusiano na Kigogo2014?
kwa tunaoitaji kuchukua vitabu kuanzia vitatu kuna punguzo lolote? Na wapi vinapatikana ?
Nisamehe boss yaishe 🙏 mambo ya ruwaichi mbona hayahusiani huku.Shemasi gani una lugha chafu hivyo kwenye mitandao...?
Ngoja tumwandikie Ruwaichi ujumbe aje aone matusi ya shemasi wake.
Inawezekana ana kigugumizi, msamehe.develolopment?
kweli wewe bila manager hutoboi
We tapeliInawezekana ana kigugumizi, msamehe.
Huyu atakuwa shemasi wa yule mfalme mwanamke wa Mwanza.Ngoja tumwandikie Ruwaichi ujumbe aje aone matusi ya shemasi wake.
Inawezekana ila sijawah kukutapeli wewe au mama Yako.We tapeli
Umeanziaha Uzi ukiwa na majina Yako halisi Pascal Weston baada ya kugundua umechemsha unaenda edit jina bila kukumbuka kama ulishajiweka UCHI tena upenuni.We tapeli
Mkisha shindwa mnakimbilia kuharibia watu...😁 mambo ya mitandao hayahusiana na mambo ya makanisani....Huyu atakuwa shemasi wa yule mfalme mwanamke wa Mwanza.
We nae akiri kizibo kweli sasa hivyo nibadilishe jina kwaajili ya Mtu? Hizo book cover nilizo post zimeandikwa jina la dada ako? Kaza wewe watakupuliza shauri yakoUmeanziaha Uzi ukiwa na majina Yako halisi Pascal Weston baada ya kugundua umechemsha unaenda edit jina bila kukumbuka kama ulishajiweka UCHI tena upenuni.
We ni tapeli.. hii maada haihusiani na utapeliInawezekana ila sijawah kukutapeli wewe au mama Yako.
We nae akiri kizibo kweli sasa hivyo nibadilishe jina kwaajili ya Mtu? Hizo book cover nilizo post zimeandikwa jina la dada ako? Kaza wewe watakupuliza shauri yako
HahahahahKumbe bado sijui english asee
Akiri=akili. Hata ikiwa kizipo inanitosha sio ka wewe mwenye jaba la akili lakini imevurugwa.We nae akiri kizibo kweli sasa hivyo nibadilishe jina kwaajili ya Mtu? Hizo book cover nilizo post zimeandikwa jina la dada ako? Kaza wewe watakupuliza shauri yako
Hawa wa makabayo inabidi niwaendee ki ulalo ulaloShemasi [emoji23][emoji23][emoji23]
We ntakufungulia kesi sitaki uhusiano na matapeli.. nikatae mzeeAkiri=akili. Hata ikiwa kizipo inanitosha sio ka wewe mwenye jaba la akili lakini imevurugwa.