Shemasi 3rd
Member
- Jun 1, 2024
- 98
- 104
- Thread starter
- #141
Ngoja mama akunyime pesa ya bando nenda kafanye kazi uhame kwenuBrazaa shemasiiiii..😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja mama akunyime pesa ya bando nenda kafanye kazi uhame kwenuBrazaa shemasiiiii..😁😁
Dunia ina mengi, uyajuayo ni 0.05% pekee,Kumbe bado sijui english asee
Mmmh!Ni kweli lakini pia mwandishi wa fasihi ana ruhusa ya kuvunja sarufi ya lugha ili kukidhi alichokikusudia.
Pia mwandishi anaweza kuvunja sarufi ya lugha ili kuonesha mvurugano au mkanganyiko katika jamii yake,mfano kitabu cha The beutiful ones are not yet born,mwandishi kaandika the beautyful ones instead of beautiful,
Ametumia AI. Hakuna jalada hapo. 😀Kuna typing errors kwenye Covers za vitabu vyako! Angalia tena! Eg; POLITICS umeandika POLTICS na YOUTH umeaandika YOUITH..
Uwe makini..
Umeenda Face book kuchukua picha😁 nyingine hii hapa 0711359904View attachment 3007401
Pascal biashara yako ya kujiuza kwa wanaume umeshaiacha?
Au namba yako hii umeshabadili 0753 938 964
pascalweston3@gmail.com
Endelea kujielimisha zaidi kuhusu poetic licence, na wakati huohuo, hilo jalada katengeneza kwa kutumia AI, ndiyo maana kuna hizo typos.Ni kweli lakini pia mwandishi wa fasihi ana ruhusa ya kuvunja sarufi ya lugha ili kukidhi alichokikusudia.
Pia mwandishi anaweza kuvunja sarufi ya lugha ili kuonesha mvurugano au mkanganyiko katika jamii yake,mfano kitabu cha The beutiful ones are not yet born,mwandishi kaandika the beautyful ones instead of beautiful,
Hamna neno la Kiswahili mbaka, ni mpakaKabla huja comment jiridhishe sana mkuu najua nacho kifanya mbaka nafikia level ya U shemasi sijarushwa tu nimepitia hatua zote. So hakuna Typing error hapo Asante.
Ametumia AI. Hakuna jalada hapo. 😀
Kun'gan'gana ni kitu gani, Shemasi?Duuuh! Kweli bado kunatatizo sana hasa kwenye upande wa ujuaji nimekwambia kabla hujaja kusema kuna typing errors jiridhishe kwanza nenda google kaangalie uliza na kwa watu mimi sio chizi et book cover tu ikosewe .. nadhani ungekuwa mwandishi au msomaji wa vitabu usingeendelea kun'gan'gana na hii kitu asante
Jifunze basics za uandishi ili ujue unapoandika jina lako anza kutumia herufi kubwa.
Una kariri sana mkuuJifunze basics za uandishi ili ujue unapoandika jina lako anza kutumia herufi kubwa.
Pa s ca l we s to n A b d a l suleimanKun'gan'gana ni kitu gani, Shemasi?
Na jina lako linaandikwa Pascal ama Pa sca l?
Duuuh.. hii kazi ya mwalimu wako ila njoo kanisani nikufundishe sarufi na bibliaKun'gan'gana ni kitu gani, Shemasi?
Na jina lako linaandikwa Pascal ama Pa sca l?
Unapoandika neno Biblia anza na herufi kubwa.Duuuh.. hii kazi ya mwalimu wako ila njoo kanisani nikufundishe sarufi na biblia
Sarufi na Misimu haifanani, kuna muitalia mmoja amehitimu Degree ya Kiswahili Chuo kimoja HUKO Italy alisema akiingia mtaani Kiswahili cha mtaani hakiwezi kinamshinda yeye anakifahamu kile cha kitabuni TUSasa kama unaandika kitu kinaeleweka Kwa wachache ti hivyo vitabu vitauzika kweli?
Kwa sababu gani?Unapoandika neno Biblia anza na herufi kubwa.
Asante.
Kwa nini kwenye vitabu vingine hujatumia hii?Pa s ca l we s to n A b d a l suleiman
Kw
Kwa nini kwenye vitabu vingine hujatumia hii?
Walipe wachoraji na wasanifu wa majalada badala ya kutumia Artificial Intelligence.
Hata huyo meneja unayemtafuta atakuona hujui unachofanya.