Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

Natafuta Meneja wa kunisimamia katika kazi zangu

Acha kudhalilisha seminari kuu, unategemea watu wengine wanapata picha gani kama anayejiita shemasi hatumii busara kutoa majibu hata kama mengine ni ya kejeli? Hii ni sehemu waliomo watu wa kila aina na kila dini, jifunze kufikisha ujumbe kwa njia ya unyenyekevu.
 
hayo ni maneno ya kujifariji ya kijinga zaidi ww umeona mwenyewe hajui kukosea akiamini yeye kasoma hajaruka ruka.....

kujua ni pale unapoweza kufanya bila kukosea.... kukosea ni kukosea tu haijawahi kuwa ni kujua
Mkuu mbona kama kukosea kuna weza kukufanya ukajua ? Au nimelewa mkuu?
 
Mkuu mbona kama kukosea kuna weza kukufanya ukajua ? Au nimelewa mkuu?
itakua umelewa mkuu..... zaidi utajua umekosea nikimaanisha utalitambua kosa ila kujua ni kamchakato kengine ambako kanahitaji mtu timamu
 
hayo ni maneno ya kujifariji ya kijinga zaidi ww umeona mwenyewe hajui kukosea akiamini yeye kasoma hajaruka ruka.....

kujua ni pale unapoweza kufanya bila kukosea.... kukosea ni kukosea tu haijawahi kuwa ni kujua
'ww' una maanisha nini mbona na wewe unakosea kuandika
 
duuuh, por que essa caligrafia parece de alguém que não conhece Kiswahili? parece que um robô foi usado
Naaah irmão, naongea kiswahili mzee. Yo solo quiero practicar contigo, si te interesa la idea comparte su correo conmigo y te enviaré la link de invitación para haciendo el google meet.
Gracias!
 
itakua umelewa mkuu..... zaidi utajua umekosea nikimaanisha utalitambua kosa ila kujua ni kamchakato kengine ambako kanahitaji mtu timamu
Ngoja nipunguze spidi ya kugida bia😁 sasa twende kwenye mfano, nilifanya forex bila elimu kwa kina ,nikapoteza usd 2000 , je hauoni kuwa nitakua nimejua kuwa kosa langu nikutokuwa na elimu kwa kina ndio maana nmepoteza?
 
Ngoja nipunguze spidi ya kugida bia😁 sasa twende kwenye mfano, nilifanya forex bila elimu kwa kina ,nikapoteza usd 2000 , je hauoni kuwa nitakua nimejua kuwa kosa langu nikutokuwa na elimu kwa kina ndio maana nmepoteza?
mkuu kweli punguza kunywa mataputapu umetoa mfano mzuri sana na kiufupi umetambua kosa ila hukuijua forex kupitia kosa lako.......
 
Ngoja nipunguze spidi ya kugida bia[emoji16] sasa twende kwenye mfano, nilifanya forex bila elimu kwa kina ,nikapoteza usd 2000 , je hauoni kuwa nitakua nimejua kuwa kosa langu nikutokuwa na elimu kwa kina ndio maana nmepoteza?
Kama hajui kukosea ndio kujua inabidi akajifunze hatua za ukuaji za Mtoto anapotaka kutembea anavyokosea kosea Mara aaanguke Mara ajishikilie ukutani ahahahaa
 
Back
Top Bottom