Tuhuma kubwa sana hii[emoji2827]! Mungu nisaidie maana sina rohombaya kiasi hichoHuyu Mshana Jr anaangalia wakumsaidia watu wanamfuta kawablock unajua ingekuwa Mungu kampa karma yeye tu yakusaidia watu basi tungekufa mtu unashida kubwa anakuambia ogea chumvi utapata kazi seriously
Unaweza kutoa sadaka au unalopoka tu acheni tamaa Kwa kuksaidia kama unataka utajili iringa ndio Kuna waganga wa utajili wengi wamejazana nenda iringa kaulize makanyaga utapata unachokitakaKwakufupisha tu ili nisiwachoshe__wakuu mm nahitaji connection yasangoma alie kuwa vizury kwenye kila idara (nahitaji mafanikio yakimaisha ) sio pesa yakula nataka nitoboe maisha kabisa (nakukaribisha PM) _
Nilikutapeli nini? Usinichafue tafadhali sina ubaya na mtu[emoji23][emoji23][emoji23] mzee wa chumvi..hamna kitu hapo msanii tu.
Kama unataka kumuua huyo jamaa njoo pm, ila kama unataka mambo ya kikekike ya mabusha pita kulee.Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Walahi ushanipaga hadi namba tukaenda whtsupp ila hukuwahi kunipa muongozo muongozo ulionipaga ni kuogea chumvi au tukusreenshort tukuonyeshe fungua pm Yako au nitoe hapa siongeagi uongooTuhuma kubwa sana hii[emoji2827]! Mungu nisaidie maana sina rohombaya kiasi hicho
Unajua maana ya imani? Yaani ukiishi na imani ya kweli kwa miaka yote hiyo sidhani kama unaweza kuomba ajiraNi kweli haingwi ila mf. Umeishi na imani hiyo tokea mdogo na Sasa shukurani ni kutoolewa hadi 35, kila kazi unafukizwa ikifika miezi 3, ukipata mwanaume anaota ajali anakufaa huyo Yesu anakuangalia wanadamu wakikupiga mashambulizi hadi basi .
Anachokupa ni uhai. Mateso kama yote nimeishi Mimi na majini ya ndugu wa mama yangu miaka na miaka naomba kanisani kama Nini nimetupwa chooni nyota imeshushwa nimefungwa halafu wewe upo Yesu ndio suluhisho unamjua umemuonaga . Ni Bora mtu tu awe mpagani
Walahi ushanipaga hadi namba tukaenda whtsupp ila hukuwahi kunipa muongozo muongozo ulionipaga ni kuogea chumvi au tukusreenshort tukuonyeshe fungua pm Yako au nitoe hapa siongeagi uongoo
Ukiwa hujaamuliwa basi unaona wengine washirikina hawafai ila kama umeamuliwa hata ardhini utachimba uingie.Unajua maana ya imani? Yaani ukiishi na imani ya kweli kwa miaka yote hiyo sidhani kama unaweza kuomba ajira
Je nilikutoza fedha yoyote? Nilikushauri kwa uwezo wangu wote nje ya matarajio yako.. Sina tatizo hata ukiweka mawasiliano yetu hapaWalahi ushanipaga hadi namba tukaenda whtsupp ila hukuwahi kunipa muongozo muongozo ulionipaga ni kuogea chumvi au tukusreenshort tukuonyeshe fungua pm Yako au nitoe hapa siongeagi uongoo
[emoji848][emoji16] JF raha sana at least umenitoa kwenye tuhuma ya utapeli sasa unakuja na ya usanii.. Kwahiyo kwako wewe chumvi sio tiba bali tiba ni matunguli!?Sio utapeli, kuna tofauti kati ya utapeli na usanii, watu wana shida nzito unawaambia waogee chumvi ?? Naonaga wanakupa airtime ya uongo tu wewe niseme unajua tu habar za kichawi na unazijua kwa kukopi na kupesti, ila hujui haya mambo kwa undani hata konekshen huna
Ni Mungu tu na siyo binadamuMimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.
Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
Ni Mungu tu na siyo binadamuMimi humu ni mgeni ila shida yangu ni mganga ambaye ni mkali atakayenisaidia kurudisha mambo yangu mana kila kitu kimeharibika sio kazi, sio mwanaume niliye kuwa naye sio biashara yangu nipo Moshi naomba mnisaidie mtu wa karibu yangu kama huku upareni.
Tafadhali nashida nanipo serious kabisa sio utani na hii hali haijaanza leo.
Poleni na majukumu ya kila siku, nimekuja na ID yangu hii sina haja ya kujificha.
Moja kwa moja kwenye mada, nahitaji msaada kama kuna mtu anamjua mganga wa uhakika anifanyie kazi yangu, kuna waganga huwa nasikia wanatoa watu mabusha, wanatuma majini au kumpa mtu ugonjwa nahitaji mganga wa hivyo.
Hii Dunia ina mengi, na ikifika kipindi cha vita unaambiwa usichague silaha, nahitaji jambo langu likamilike kwasababu kuna watu wanaweza kukukosea heshima mpaka wakapitiliza. Ukimya na subira ni muhimu lakini kuna watu huwa wanaona kama umezubaa.
Nikifanikiwa kazi yangu nitakupa ya shukrani sina hiyana. Watu wa mahubiri hapa sio sehemu yake.
Nawashukuruni naamini nitapata msaada wenu.
Waganga hawapi wenyewe so maisha ya kusema mwenzako anaenda Kwa mwanadamu acha hujawahi kupitia shidaSasa mzee baba, wewe ni mwanadamu na unaenda tafuta msaada kwa mwanadamu aliye kama wewe...
Mwenye shida hapo itakuwa ni wewe au Mshana Jr ambaye naye ni mwanadamu kama wewe tu?
Waganga hawapi wenyewe so maisha ya kusema mwenzako anaenda Kwa mwanadamu acha hujawahi kupitia shida
Namba yakePOTWE - MUHEZA
Me nadai zaidi ya milioni 2.Kuna mtu alinifanyia ujinga na kuondoka na mali zangu nikaelekezwa Tanga ebwana wee kuna wazee ni hatari na nusu