Natafuta Mganga wa Mapenzi


ukipata mganga huyo n pm,nami nfanye vice vesa yko,maana kuna dada ananitesa namtaka.
 
Last edited by a moderator:
Check na profesa maji marefu mbunge mkuu Kongosho
 
Last edited by a moderator:
Kongosho Njoo kwa mtaalamu Young_Master mganga aliyebobea kutoka Ufipa, sumbawanga upate dawa ya kumfukuza huyo usiyempenda.

lolest! Kongosho usijaribu aisee kwenda kwa Young_Master yaani utakiona cha mtema kuni. si unakumbuka baada ya kumpa dawa Asprin alipokwenda kwa cacico alianza kukojoa dagaa aisee. mbona aliugua j2 yote alikuwa ndani ni ericB52 alikwenda kumuona na mpaka leo naskia hajaweza kutoka ndani so don't try aisee.

but bi dada umefulia this time hadi vibabu au una display that type of class kiasi kwamba wanakuona saizi yao?
 
Last edited by a moderator:
OMG........!:closed_2:
 
gfsonwin, mmmh siamini kama hujui maini ya ng'ombe mzee ndio yenye madini mengi.

 
Last edited by a moderator:
Bioloji ya daasa la saba inasema, maini yana madini ya chuma tu
Hayana toxic

sasa apo ndo unapochema Kongosho manake inategemea ni madini gani, manake yaweza kuwa madini mengi but toxic ama non toxic sijui weye wataka yepi
 





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…