Natafuta Mgumba


Nafahamu sana noahism ni nini unachomaanisha.
Ila ungempinga tu bila kutumia hyo lugha yako.
Maana mpaka mie mwenyewe nimeshtuka.
Ila yeye amerahisisha kbs,
japo najua angesema kuwa anahitaji mwanamke ambae haitaji kuzaa tena au aseme Tasa?

Hapo pa Blue, Na Iwe Hivyo Miaka yote Mpendwa.
 
Last edited by a moderator:
Madame B
huyu atamzidishia huyo mgumba mawazo na stres, naamini hakuna mgumba asie fanya juhudi ya kupata mtoto. Je? Huyo jamaa atakua na msaada gani, huku kamuo ili waishi bila kuzaa. Mungu Wangu Anisamehe kama nimekukwaza Madame B wewe pia unisamehe. Ila
 
Last edited by a moderator:
Na itakua na ipo ivyo dada yangu siwezi kukukosea heshima. Ila mie hadi leo bado na picha ya mgumba mmoja alivyo nyanyaswa hadi kupata kifo kwa ajili ya msongo wa mawazo na kujiona hana thamani katika dunia yetu. Jumapili njema
 
Last edited by a moderator:

Usijali,hakuna ulipokosea mpendwa.
 
Last edited by a moderator:
Na itakua na ipo ivyo dada yangu siwezi kukukosea heshima. Ila mie hadi leo bado na picha ya mgumba mmoja alivyo nyanyaswa hadi kupata kifo kwa ajili ya msongo wa mawazo na kujiona hana thamani katika dunia yetu. Jumapili njema

Asante nawe Pia.
 
Am here Dear

Naomaba yafuatayo.

1. Kila ijumaa disco
2. Jumamosi Disco
3. Kila siku jioni Bar

kama upo tayari Ni PM.

Then tufanye taratibu, Lazima nijue hali yako ya kiuchumi na mvuto wa Sura pia.

Nataka nikitoka na wewe niweke heshima mtaani.

I mean if you are not handsome dont disturb yourself!!!
 
Na itakua na ipo ivyo dada yangu siwezi kukukosea heshima. Ila mie hadi leo bado na picha ya mgumba mmoja alivyo nyanyaswa hadi kupata kifo kwa ajili ya msongo wa mawazo na kujiona hana thamani katika dunia yetu. Jumapili njema

I have my chance
 
Sample ya wagumba wa hivi walikua watoa mimba na tabia za kua na wanaume zaidi ya wa 4 enzi za ubinti wao.
 
Nipishie mbali, usifanye wagumba wana akili kama zako .. acha kebehi mtoto wa kike, ugumba unausikia au unaujua jinsi gani unavyo watesa mioyo yao?

Sijui umeamkia Mguu gani? Au na wewe ni mgumba?

Huyu kasema anataka Mgumba lately amesema yupo tayari pia na kwa m2 asiye na mpango wa kuzaa.

Mimi sina mpango wa kuzaa ndio nikaamua nichukue Chance. Sasa wewe mapofu yanakutoka ya nini?

Chukua time.
 
Time ipi nichukue? acha zako, ukikua utayaacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…