tethering
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 331
- 139
Natafuta mtu wa kufanya nae biashara,yani tufanye ujasiria mali pamoja ,kwa yeyote mwenye fedha lakini hajui awekeze wapi aje na walau laki tano na mimi nitoe tupate milioni moja tuwekeze pamoja ili tupate faida kubwa, pekeangu nimekuwa sipati faida kubwa cause mtaji wangu ni kidogo.
Akitokea Dar es salaam au moro itakuwa vizuri zaidi japo yeyote anakaribishwa na awe jinsi yoyote ili mradi awe commited yani amaanishe sio kubip ili tuweze kipiga vita umaskini.
Aliyeko tayari ani Pm namba ya simu ili tukutane haraka iwezekanavyo tupange mikakati cause tayari nina uzoefu na hiyo biashara. Mwambie na mwingine kama unajua atakuwa hana taarifa juu ya hili.
NB: Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu.
Akitokea Dar es salaam au moro itakuwa vizuri zaidi japo yeyote anakaribishwa na awe jinsi yoyote ili mradi awe commited yani amaanishe sio kubip ili tuweze kipiga vita umaskini.
Aliyeko tayari ani Pm namba ya simu ili tukutane haraka iwezekanavyo tupange mikakati cause tayari nina uzoefu na hiyo biashara. Mwambie na mwingine kama unajua atakuwa hana taarifa juu ya hili.
NB: Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu.