Kabisa awekeWeka na picha mkuu ukitaka wajae[emoji23]
Usijali still mnaeza eka mambo sawa ππDaah huu weusi umenikosesha mubebe
Mmh sidhani, maana rangi kasisitiza kabisa.Usijali still mnaeza eka mambo sawa ππ
Jf ni mtaa pia mkuuYaani umeshindwa kumpata mke mtaani uje umpate Jf
Vijana wa siku hizi mmekuaje Mbona mmelegea hivi aisee
Nasuburi akaunti ijaejae kidogo[emoji23]Kabisa aweke
Na wewe tangazo utatuekea lini [emoji2]
πππ ikijaaa utaona ni gold digger au utakua hakimi?Nasuburi akaunti ijaejae kidogo[emoji23]
Ntahudumia tu kiroho safi[emoji23] chamsingi na mimi demands zangu zizingatiwe....[emoji2][emoji2][emoji2] ikijaaa utaona ni gold digger au utakua hakimi?
One man down ngedere hawajawahi kuwa pakaHabari, mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, , rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa alie makini, aliemaliza mambo yake, siitaji msumbufu, uko nshatoka. Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
Chuma ichoEka picha tukuone
Hayo masharti yako sijui yatakuweje[emoji23]Soon namimi nije na tangazo langu la kutafuta mke