Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
Nitakua interviewer wako mkuu πππSoon namimi nije na tangazo langu la kutafuta mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakua interviewer wako mkuu πππSoon namimi nije na tangazo langu la kutafuta mke
Awe na komwe πHayo masharti yako sijui yatakuweje[emoji23]
Atataka mweupeHayo masharti yako sijui yatakuweje[emoji23]
Kwann usiwe ndie nnaemtafuta? πNitakua interviewer wako mkuu πππ
Kwenye hvyo vigezo hata kimoja ujapatiaAtataka mweupe
Awe na kazi na hela
Asiwe singo maza
Mkuu wewe chama kubwa utakua na best candidate πππKwann usiwe ndio unaetafutwa π
Umesahau nyash[emoji23]Atataka mweupe
Awe na kazi na hela
Asiwe singo maza
Basi sawa mkuuKwenye hvyo vigezo hata kimoja ujapatia
I think you are the top best of the bestMkuu wewe chama kubwa utakua na best candidate πππ
Hapana hata kwa kulipwa siwezi kua chelsiiBasi sawa mkuu
Vipi leo ulikua cheisii?
Shauri yako mkuu πππI think you are the top best of the best
π mi sielewi nkikuelewa nakuelewa na usumbufu wako.Shauri yako mkuu πππ
Mie ndo wale wasumbufu mwenye tangazo hawataki πππ
Mwezi mtukufu huu mkuuπ mi sielewi nkikuelewa nakuelewa na usumbufu wako.
Njoo bas pm unisumbueππ€
Habari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
Kwani ukija tunafanya dhambi? πMwezi mtukufu huu mkuu
Naogopa ππKwani ukija tunafanya dhambi? π
Unaogopa nini?Naogopa ππ
Ni pm uniambie unachokiogopa kwangu πNaogopa ππ
π€£π€£π€£Umeenda kufanya follow up?Ningekuja ila umesema una miaka 40 ila kwenye bio yako una miaka 47[emoji23]