Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Unachelewa nini sasa kijanaSoon namimi nije na tangazo langu la kutafuta mke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachelewa nini sasa kijanaSoon namimi nije na tangazo langu la kutafuta mke
Kelsea na financial services fursa ndio hizi hapa shauri yenu. Jamaa hataki mambo mengi...yeye uwe umetulia tuuHabari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
Anataka mke mweupe na mimi mweusi, nimepishana na gari la mshahara.Kelsea na financial services fursa ndio hizi hapa shauri yenu. Jamaa hataki mambo mengi...yeye uwe umetulia tuu
Ah wee hujaonaga watu wanapeleka maombi ata kama kakosa sifa mojaAnataka mke mweupe na mimi mweusi, nimepishana na gari la mshahara.
Mi mwenyewe sijuiUnachelewa nini sasa kijana
Pandisha uzi hapo chap, weka vigezo watu wagombanie goliMi mwenyewe sijui
😅 uwe mshangazi kama uyo waziri wa kenyaPandisha uzi hapo chap, weka vigezo watu wagombanie goli
Mashangazi tuna real love, hatuna longo longo😂😅 uwe mshangazi kama uyo waziri wa kenya
Nijaribie wapi sasa 😅Mashangazi tuna real love, hatuna longo longo😂
Jaribu uone
Tafuta mshangazi mmoja huku ujisevieNijaribie wapi sasa 😅
😅 sawa ngoja nichangamkeTafuta mshangazi mmoja huku ujisevie
Fanya hivyo chap😛😅 sawa ngoja nichangamke
Huyu sio kijana ni mbaba aliejichanganya😂😂Yaani umeshindwa kumpata mke mtaani uje umpate Jf
Vijana wa siku hizi mmekuaje Mbona mmelegea hivi aisee
Kwani we ni singo mazar? Kama huna mtoto utafika mbali njoo dm😀Atataka mweupe
Awe na kazi na hela
Asiwe singo maza
Ntalifanyia kaziFanya hivyo chap😛
Shangazi una kitu, utafika mbali 😀😀😀Mashangazi tuna real love, hatuna longo longo😂
Jaribu uone
Yaani mtu wa miaka 40 ni 'kijana wa siku hizi' kwakoYaani umeshindwa kumpata mke mtaani uje umpate Jf
Vijana wa siku hizi mmekuaje Mbona mmelegea hivi aisee
Atakuwa ngosha huyu...haiwezekani vigezo vingine asibague ila kwenye rangi tuDaah huu weusi umenikosesha mubebe
Uko si ndio ntapigwa na kitu kizito? Bora huku kidogo naweza kupata maana ni GREAT THINKERSMara 100 uende FB sio JF.
Nilikua nishafoli ini lav sasa nataka kwenda piem nkasema nifanye kauchungusiiiii😂😂😂🤣🤣🤣Umeenda kufanya follow up?