Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hap wengi wao ni kuanzia pale 28yrs hadi hiyo 35. Changamoto yao kwa baadhi ya wanaume ni kua tayari wanakua na mtoto/watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna single mother hapa mkuu. Vipi atakufaa? Ni mweupe peeeee, hakuna haja ya umemeHabari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
Inategemea mkuuKuna single mother hapa mkuu. Vipi atakufaa? Ni mweupe peeeee, hakuna haja ya umeme
Enhe mwaga sera
Mtu aliyemaliza mambo yake si maiti hiyo ?Habari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
Mtu aliyemaliza mambo yake si maiti hiyo ?Habari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
Nijibu pm kutoka wapi mkuu?. Nilizoziona nimezijibu, angalia vzr umemtumia nani.Mkuu Mbona haujibu Pm?
HahaaaaMmh sidhani, maana rangi kasisitiza kabisa.
Au nijichubue? Si hatajua, sa itakuaje😅
Huwa nakasirikaga Sana na comments za kijinga Kama hizi are you being serious??kwanza wewe sio smart upstairs..why umekuja Love connect??na why unakuwa dream killer????????haya wewe ambaye upo hapa Jf unakaa wapi Kwa taarifa yako wewe mtoto mawazo yako ni mufilisi watu wengi Sasa kutokana na mtindo wa maisha wanapata wachumba online na mambo ya family yanaanza Eti hujawona mtaani Ina maana wewe una AKILI kuliko Melo aliyeamua hili jukwaa liwepo anajua it's possible na Watu wengi wanaoana kupitia hapa au njia zinazofanana na hizi So Kama hapa panakukera au hupaamini Usibonyeze kusoma.Yaani umeshindwa kumpata mke mtaani uje umpate Jf
Vijana wa siku hizi mmekuaje Mbona mmelegea hivi aisee
SawaHuwa nakasirikaga Sana na comments za kijinga Kama hizi are you being serious??kwanza wewe sio smart upstairs..why umekuja Love connect??na why unakuwa dream killer????????haya wewe ambaye upo hapa Jf unakaa wapi Kwa taarifa yako wewe mtoto mawazo yako ni mufilisi watu wengi Sasa kutokana na mtindo wa maisha wanapata wachumba online na mambo ya family yanaanza Eti hujawona mtaani Ina maana wewe una AKILI kuliko Melo aliyeamua hili jukwaa liwepo anajua it's possible na Watu wengi wanaoana kupitia hapa au njia zinazofanana na hizi So Kama hapa panakukera au hupaamini Usibonyeze kusoma.
Hawa ndo washamba wasiojielewe kwani hapa hapana watu au anawasiliana na marobotiJf ni mtaa pia mkuu
Akili ndogoHawa ndo washamba wasiojielewe kwani hapa hapana watu au anawasiliana na maroboti