G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja aje akutane na LGBTQMkuu unafikiri mke ni maandazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja aje akutane na LGBTQMkuu unafikiri mke ni maandazi
Mtu yuko serious nyie mnaleta utani.Mmh sidhani, maana rangi kasisitiza kabisa.
Au nijichubue? Si hatajua, sa itakuaje😅
Labda usubiri kwanza baada ya ile miaka 1000 tutoke mbinguni. Maana mbinguni hakuna kupa wala kuolewa.Habari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.
Tukuoneer kama kweli ni mweusi 😂Habari,
Mimi nina umri wa miaka 40, natafuta mke asiezidi miaka 35, dini yoyote, kabila lolote, rangi awe mweupe. PM ipo wazi kwa aliye makini, aliyemaliza mambo yake, siitaji msumbufu uko nishatoka.
Akiwa na biashara au mfanyakazi, au mama wa nyumbani.