Natafuta mke, awe mlevi (apende pombe)

Mtakuwa mnakojoa kitandani
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe ndio unafaa yani
 
Hao hutafutwa kweli au unatujazia tu jukwaa?

Ukienda baa unawakuta wapo bwerere, na wao mara nyingi ndio hulianzisha "kaka ninunulie moja basi"
 
Kuna mmoja alikimbiwa na mwanajeshi, sababu ya ulevi ni jirani yangu, yeye saa 12 asubuhi hajitambui. Ila anawajali sana watoto wake 2 alioachwa nao. Ni wasafi na watanashati wana afya nzuri sana. Kama upo serious nikupe namba yake
 
Safi
sana sanaaa nakurushia namba
 
Kuna mmoja alikimbiwa na mwanajeshi, sababu ya ulevi ni jirani yangu, yeye saa 12 asubuhi hajitambui. Ila anawajali sana watoto wake 2 alioachwa nao. Ni wasafi na watanashati wana afya nzuri sana. Kama upo serious nikupe namba yake
sijakuona PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…