Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mlevi changamkia hiyo tender![emoji28][emoji28][emoji28]Woowww!!!!
Umefunga PM. so? =Kwa mara ya kwanza wanawake walevi tumekumbukwa katika ulimwengu wa JF. Shukrani sana mleta hoja, tukutane PM tukayajenge mlevi mwenzangu.
karibu babysaivi ni mnywaji ila fasta nta upgrade niwe mlevi baby nakuja PM
na kweli aniache hahahashosti huyu niachie mie, atatokea chapombe mwingine
umefunga PM. au ushalewa?saivi ni mnywaji ila fasta nta upgrade niwe mlevi baby nakuja PM
ni wawili tu, yaani ni mwendo wa bajeti.Dah...nawaza vitoto vitakavyo fyatuliwa hapo....nawaza tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13]
niliwe na fisi au? hata kama nimelewa ila sio kwa kiwango hicho cha lami, yaani nijipeleke kwa fisi!!. unamjua fisi wewe? simba mwenyewe akimuona anakaa kimya, sio kwamba anamuogopa....anakaa tu kimya.Njoo uwanja wa fisi wapo
kishapata bwanaKamchukue mke wa Nabii Tito.
iko wazi bebeumefunga PM. au ushalewa?
asante shostiHaina shaka shogangu, mchukue tu. Ngoja niendelee kusubiri labda atatokea mwingine
iko wazi bebe
Ni swala jema nasikia nabi Tito Yuko huru ngoja tutafute namba yake akusaidie kumtafutaHodi humu,
Ndugu zangu, mimi sasa ni rasmi nataka kuoa, nimeangalia sifa ambazo wanaume wenzangu huainisha, naona zimejaa unafiki; unakuta anasema nataka mke wa kuoa awe hivi, awe na kazi, sijui amesoma...kwakweli mimi naomba niseme tu ukweli, kama ni mawe mnipige.
Mimi nataka kuoa, sifa zote za kuwa mume wa mtu nimeshajiandaa, ninazo (makazi, ajira, upendo, kuwa tayari kulea, nk). sasa mbali na kwamba mwanamke ninayemhitaji na yeye awe na sifa k.v. upendo, kujiheshimu, n.k. Mimi nataka pia awe mlevi, yaani apende pombe, huyo naona tutaendana na tutakuwa marafiki wakubwa.
Nitampenda, nitamlinda, nitamhudumia, tukienda kulewa wote ntahakikisha silewi sana ili wote tusipotee njia ya kurudi nyumbani, pia mmoja awahi kuamka kuandaa supu ya kutoa hangover.
Kwa anayemjua dada aliyetayari kuolewa kwa ndoa halali, na anapenda pombe, please niPM.
[emoji4][emoji4][emoji4]Wee mlevi changamkia hiyo tender![emoji28][emoji28][emoji28]