SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Mungu aknipgania kiuchumi ntamuoa hyu demu wangu msukuma jmn nampenda sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hama kwanza nyumbani kwa babaako ndio uje utoe ushauri hapa umefunika shuka la mama na mnashea chumba na dadazako unakuja kuleta ushauri wa kikenge soka apa!Kwani wewe una hela? Wenzio akina Bhaktesa wake zao mama wa nyumbani wao ndio wanaingiza hela kupeleka nyumbani wakale wake zao
Kwa maelezo yako wewe ni lofa uliyepigika kimaisha unayetaka kutoka kupitia Mwanamke
Maswali ya je muoaji ana kazi au la kwenye vikao vya kuoa huwa anaulizwa kijana wa kiume sio wa kike wewe umekuja kinyume unataka kikao kihoji huyo mwanamke unayetaka kumuoa ana kazi?
Wewe kama kijana wa kiume nawapa Pole wazazi wako
Anayeoa ndiye huulizwa kama ana kazi kuwa sio golikipa sio mwanamke
Kwa viswali vyako hivyo hupati mke
Tafuta pesa ukiwa na vipesa viseali vya kijinga kama hivyo vya je mwanamke ana kazi hutauliza
Kataa umaskini na ulofa wa hela
Huna hela usio nenda kawe padri kanisa katoliki
Naaam nakubal kbs mkuu.Wasukuma ni wanawake na nusu
[emoji1][emoji1][emoji1]Kwani wewe una hela? Wenzio akina Bhaktesa wake zao mama wa nyumbani wao ndio wanaingiza hela kupeleka nyumbani wakale wake zao
Kwa maelezo yako wewe ni lofa uliyepigika kimaisha unayetaka kutoka kupitia Mwanamke
Maswali ya je muoaji ana kazi au la kwenye vikao vya kuoa huwa anaulizwa kijana wa kiume sio wa kike wewe umekuja kinyume unataka kikao kihoji huyo mwanamke unayetaka kumuoa ana kazi?
Wewe kama kijana wa kiume nawapa Pole wazazi wako
Anayeoa ndiye huulizwa kama ana kazi kuwa sio golikipa sio mwanamke
Kwa viswali vyako hivyo hupati mke
Tafuta pesa ukiwa na vipesa viseali vya kijinga kama hivyo vya je mwanamke ana kazi hutauliza
Kataa umaskini na ulofa wa hela
Huna hela usio nenda kawe padri kanisa katoliki
UghonileeeWandugu baada ya miaka mingi ya kuzurula au niseme kuhama kambi moja kwenda nyingine, rasmi nimeamua kuoa. Nimeamua kuoa serious kabisa na sina utani hata kidogo!
Makabila yote nayajua ila nimeamua kuchagua Msukuma. Kwa sasa sioi kwa sababu ya ngono, ila naoa kwa sababu ya maisha.
Mwanamke yeyote, awe na watoto ama la akuje, na pili lazima awe na kazi. Mimi Nina miaka 39 ,nimuajiriwa na ni mfanyabiashara ,Nina watoto 2 ni mzaliwa wa mbeya ,kabila langu kama kawaida
Unatubagua siyo vizury 😂😂😂Wandugu baada ya miaka mingi ya kuzurula au niseme kuhama kambi moja kwenda nyingine, rasmi nimeamua kuoa. Nimeamua kuoa serious kabisa na sina utani hata kidogo!
Makabila yote nayajua ila nimeamua kuchagua Msukuma. Kwa sasa sioi kwa sababu ya ngono, ila naoa kwa sababu ya maisha.
Mwanamke yeyote, awe na watoto ama la akuje, na pili lazima awe na kazi. Mimi Nina miaka 39 ,nimuajiriwa na ni mfanyabiashara ,Nina watoto 2 ni mzaliwa wa mbeya ,kabila langu kama kawaida