Natafuta mke awe Msukuma au Mhaya

Hama kwanza nyumbani kwa babaako ndio uje utoe ushauri hapa umefunika shuka la mama na mnashea chumba na dadazako unakuja kuleta ushauri wa kikenge soka apa!
 
Leo naona ni zamu ya single parents.
 
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ughonileee
 
Unatubagua siyo vizury πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanapatikana Tandika wengi, ushindwe wewe mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…