Natafuta mke awe mwalimu

Natafuta mke awe mwalimu

Asilimia kubwa wavumilivu kama unasoma kwanguvu hii ndio Aa Aaa aaaaaa ina mkia mfupi hadi wanaelewa naamini atanielekeza hadi kichwa kotatulia tu mimi ni msumbufu sana
Kila la heri unatafuta mwalimu ili umsumbue aliyekwambia wanataka mtu msumbufu nani🤣🤣
 
Hakuna ubaya Jombii sema kuna ukakasi chagua lugha moja hapo kaka kabla ya wabobevu hawajafika.

hahahaha, mwanangu unataka mwalimu ili awe collateral? Hahahaja wameamka siku hizi hawataki wabangaizaji wanataka wanaume walio stable, take it easy hatuwezi kuwa serious kwenye kila thread... kwanini mzee usiseme kwanzia atleast 28s -30s mlingane huoni utasumbuka kulea utoto kidogo au maturity kwako sio kesi???

Mwanangu kaza sana, walimu wanataka mwanaume mwenye sifa kama zako, ila jikaze mzee usije uka waangusha watoto za watu.
28+ hiyo mileage ni noma washatombwa knoma
 
Kila la heri unatafuta mwalimu ili umsumbue aliyekwambia wanataka mtu msumbufu nani🤣🤣
Dada mambo yasiwe mengi kama uko karibu hata na Shule ya Msingi fanya malomoni natanguliza shukran zangu za dhati kwako
 
Dada mambo yasiwe mengi kama uko karibu hata na Shule ya Msingi fanya malomoni natanguliza shukran zangu za dhati kwako
Kila la heri mkuu mungu akufanyie wepesi katika utafuttaji wako
 
Nenda Dodoma, pale sekretarieti ya ajira,wanaokuja kuchukua barua za kazi,za kupeleka walikopangiwa,wadake.
Ila mkui kama haupo Wizara ya Mipsngo ni Matumizi mabaya ya Rasilimali watu
 
28+ hiyo mileage ni noma washatombwa knoma
Hehehehe mzee kama kuanzia 18 - 25 hapa kuna difference ya 7 years. unataka kusema nini hapo namna wana wanavyo fakamia back to back Pum** tu daily.

Anyway, kuna wale wale unawaona wadogo like 22 ila washa chezea kuni tangu wakiwa na 14 huko na ni makonki mbaya. Haya mambo yakutaka ambae haja kanyagwa before au bikra kipindi hiki utasikia kwenye redio though wapo wanao bahatika kupata ambao hawajui hayo mambo kabisa.

Tukitaka sampuli hizo basi tuvumilie tusipige mechi kwa vibinti mpaka tuoe na tusiwe na madame wengi kitu ambacho kinaweza kuwa Impossible kwa life ya gentleman
 
Ushauri wako nimeupokea afu Mwanangu unaonekana mtu wa Mfumo sana, huna Mwalimu unaefahamiana nae hapo
Sio mfumo kaka tayari nipo na mwalimu wangu hapa tunaitafuta 10 years now thank God. Mambo ni murua hakuna stress za kizembe.

Endeleza harakati mzee utapata tu ila angalia wengi wao wapo desperate na maisha
 
Back
Top Bottom