Lior
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 1,617
- 3,697
Kwa hiyo wote wa jf ni used🙄🙄Bikira awe humu jf? usidanganyike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wote wa jf ni used🙄🙄Bikira awe humu jf? usidanganyike
Hapo kwenye kusomesha sikushauri kabisaBikra ipi labda..
Then.. ukitaka wa hivyo just INVEST hasa akiwa bado sekondari.. nenda kwao kawekeze, msomeshe kwa mkataba maalumu ww na familia yao.
NB; at your own risk
Kuna watu wamejoin jf 2015 kurudi nyuma mpaka Watakuwa na miaka mingap?Kwaiyo wanaochangia hawapo sealed?
Kwaiyo mwanamke akijoin jf automaticaly hataweza kuitunza bikira yake?Kuna watu wamejoin jf 2015 kurudi nyuma mpaka Watakuwa na miaka mingap?
Ni mabikiraKwa hiyo wote wa jf ni used🙄🙄
Kwaiyo mwanamke akijoin jf automaticaly hataweza kuitunza bikira yake?
Unatafuta bikra kwa mashangaziKwaiyo wanaochangia hawapo sealed?
Miaka yangu inahusika nn na kupata au kukosa mwanamke Bikra!?Wewe una miaka 36 halafu unatafuta Bikra 😅😅😅😅 labda ya nyuma utapata
Miaka yangu inahusika nn na kupata au kukosa mwanamke Bikra!?
😅😅😅😅😅😅Bikra imenikosesha mume!
🤣🤣🤣Bikira awe humu jf? usidanganyike