Natafuta mke hasa mtu mzima wa kuoa ambae yupo serious

Natafuta mke hasa mtu mzima wa kuoa ambae yupo serious

ivi wanaotafuta wenza humu hua wanapata!?,,coz sjawah ona mrejesho 🙂
 
Hapo hata mwenye gridi aje ndio tatizo linapoanzia mkuu 😜 hujaungua kweli??!!
 
Naitwa A, niko mkoa mojawapo wa nyanda za juu kusini. Mimi nina miaka 34. Natafuta mke wa kuoa alie na miaka kuanzia 28 hadi 55.

Awe yoyote mwenye moyo wa kujali, Asiwe mpenda pesa kwani mi ni masikini tu.

Awe mtafutaji na awe tayari kuolewa mapema tu. Hata ukiwa H.I.V positive uje tu japo mimi ni negative.

Anitext katika namba hizi 0684296047
55🤪🤪
 
Naitwa A, niko mkoa mojawapo wa nyanda za juu kusini. Mimi nina miaka 34. Natafuta mke wa kuoa alie na miaka kuanzia 28 hadi 55.

Awe yoyote mwenye moyo wa kujali, Asiwe mpenda pesa kwani mi ni masikini tu.

Awe mtafutaji na awe tayari kuolewa mapema tu. Hata ukiwa H.I.V positive uje tu japo mimi ni negative.

Anitext katika namba hizi 0684296047
Huu ni mtego, naona kuna watu wanaenda kunasa
 
Naitwa A, niko mkoa mojawapo wa nyanda za juu kusini. Mimi nina miaka 34. Natafuta mke wa kuoa alie na miaka kuanzia 28 hadi 55.

Awe yoyote mwenye moyo wa kujali, Asiwe mpenda pesa kwani mi ni masikini tu.

Awe mtafutaji na awe tayari kuolewa mapema tu. Hata ukiwa H.I.V positive uje tu japo mimi ni negative.

Anitext katika namba hizi 0684296047
Mashangazi je unatutaka ?
 
Back
Top Bottom