Natafuta mke hasa mtu mzima wa kuoa ambae yupo serious

ivi wanaotafuta wenza humu hua wanapata!?,,coz sjawah ona mrejesho 🙂
 
Hapo hata mwenye gridi aje ndio tatizo linapoanzia mkuu 😜 hujaungua kweli??!!
 
55🤪🤪
 
Huu ni mtego, naona kuna watu wanaenda kunasa
 
Mashangazi je unatutaka ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…