Chambichambi
Senior Member
- May 23, 2022
- 139
- 229
Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo
1. Awe amezaa
2. Umri miaka kuanzia 25-32
3. Awe anasali dini yeyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi
4. Kabila lolote isipokuwa Kutoka Lindi
5. Umbo: asiwe kapigwa pasi sana
6. Awe na tabia njema
7. Elimu kuanzia kidato cha nne.
SIFA ZANGU
1. Nina miaka 27
2. Mweusi
3. Degree holder
4. Naishi kanda ya ziwa, mkoa wa Mwanza
5. Bado sijatoboa kimaisha
6. Mwanifu ktk mahusiano na hata nyanja zingine za maisha
7. Dini: Mkristo
Kama yupo tayari tuwasiliane dm
1. Awe amezaa
2. Umri miaka kuanzia 25-32
3. Awe anasali dini yeyote ila akiwa mkristo itapendeza zaidi
4. Kabila lolote isipokuwa Kutoka Lindi
5. Umbo: asiwe kapigwa pasi sana
6. Awe na tabia njema
7. Elimu kuanzia kidato cha nne.
SIFA ZANGU
1. Nina miaka 27
2. Mweusi
3. Degree holder
4. Naishi kanda ya ziwa, mkoa wa Mwanza
5. Bado sijatoboa kimaisha
6. Mwanifu ktk mahusiano na hata nyanja zingine za maisha
7. Dini: Mkristo
Kama yupo tayari tuwasiliane dm