Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mfanyakazi akilipwa, anatakiwa ajinunulie kila kituKula ilikua ni jukumu lake bana, so havihusiani ,anipe changu maisha yaendelee😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfanyakazi akilipwa, anatakiwa ajinunulie kila kituKula ilikua ni jukumu lake bana, so havihusiani ,anipe changu maisha yaendelee😀
Haya bana kazi kazi nenda ukawe mkeHee si kasema kuanzia 2nd floor na kuendelea hadi 7th floor?😀😀
Huyo mwanamke ana smartphone na access ya jf?, wengi wa aina hiyo walikuwa ma lecturer SUA nenda huko labda, ila ondoa mentality za kusaidiwa kazi unapowaza kuoa inatakiwa kujua unaongeza majukumu kulima sio kazi ya mwanamke kwa asili ilitokea tu accidentally, mwanamke mzuri ni yule goal kaipaUmri kuanzia miaka 22. Elimu form four na kuendelea. MUHIMU awe ana uzoefu wa kulima kwa jembe la plau linalovutwa na ng'ombe. Angalia picha kwa ufafanuzi zaidi.