Natafuta mke mwenye vigezo hivi

Natafuta mke mwenye vigezo hivi

vigezo nakaribia kufika tatizo ubile la kiutoto jmn sijui nifanyaje ili niwe na LA kiutu uzima mkuu nifikirie bac
 
Labda niongeze na sifa hii moja kwa mke mtarajiwa wangu kuwa ningependa hata kama anafanya kazi zisiwe zile za mikataba ya kudumu hasa mbali na eneo nililopo.Mimi siwezi kuishi mbali na mke kwa kigezo cha kazi.Babu yangu alishaniusia kuwa kuishi mbali kwa wenza wa ndoa ni kumpa nafasi shetani afanye mambo yake!Naliweka wazi hili kwa sababu akina dada wote ninaopata wanadai kuwa kuolewa wako tayari ila pia wataishi mbali na mume kwa kigezo cha kazi!!!HUO NDIYO MTIHANI!!!!

Kwani wewe uko mkoa gani
 
Kwani wewe uko mkoa gani
Ni-pm tuongee vizuri!Mimi niko muwazi.TATIZO,UONGO UMEKITHIRI KWA WATU WA JINSIA ILE NINAYOTAFUTA!MTU ANAONA KULIKO ASEME UKWELI BORA UONGO ILI AKUBALIWE ANACHOTAKA!!!
 
Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
BADO NAENDELEA KUSISITIZA KUWA BAADA YA KUKUBALIANA MTU AWE TAYARI KUONANA NAMI TUPANGE MAMBO MAZITO YANAYOFUATA TUKIWA KWENYE KAKAO CHA ANA KWA ANA!!!NA SI VINGINEVYO!!!
 
vigezo vyote ninavo tatizo umbile cyo la kiutuuzima mkuu nije au ndo bac tena
 
F
Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
sikuingia huku jamani ulishapata?
 
Hahaha

BTW kuna yule binti yetu sijui ni nyakoo vile, week yote hii namuwaza
Habari za masiku mama,kwakweli hata nami niliwahamu sana maana nilisahau password na majukumu mengi ya kifamilia nikawa naingi humu kwa nadra sana nawasoma tu taratibu we na mama yako @atoto
 
Habari za masiku mama,kwakweli hata nami niliwahamu sana maana nilisahau password na majukumu mengi ya kifamilia nikawa naingi humu kwa nadra sana nawasoma tu taratibu we na mama yako @atoto
Oooh shukrani sana kipenzi. Uendelee kuwepo ma
 
Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
KAKA KUWA MWANGALIFU,MAANA WANAWAKE WA HUMU JF,NI WACHACHE SANA NI WA KWELI!WENGI LAZIMA WATAKUAMBIA UONGO!USHAURI WANGU KAMA KWELI UTAMPATA,FANYA HARAKA MUONANE USO KWA USO.PIA WAKO WANAUME WANATABIA YA KUJIFANYA WANAWAKE WASIJE NAO WAKAKUPOTEZEA MUDA!UWE MWANGALIFU PIA KUNA WAKE WA WATU WASIO WAAMINIFU NAO WANAWEZA KUJIFANYA WANATAFUTA MUME.KIUFUPI UWE MWANGALIFU SANA!!!
 
Nyie watu wachochezi.....MTU anahitaji msaada but mwamuongezea mateso[emoji26] [emoji26]
Baba utapata ila omba Mungu Tu[emoji6]
 
Acha kuweka mchanga kwenye vitumbua vya wanzako, nilipoamka asubuhi hii sikutemea kama nitapata fursa ya kinyang'anyira cha kuwa mke wa mtu.
if ur serious Mama pambana......kitaeleweka Mungu wetu sote[emoji120]
 
Back
Top Bottom