Natafuta mke mwenye vigezo hivi

Natafuta mke mwenye vigezo hivi

Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
25 akulelee watoto wako? Anzia angalau 30 mkuu 25 ndo kwanzaa anaanza kuujua utamu ambao ww ulishamaliza na watoto ukapata atakusumbua au mtasumbuana tafuta walimu wapo kibao na kwa kulea watoto wako vzr!!
Haswaaa atafute wanaokalibiana umri ,kuanzia umri huo damu ndo kwanza inachemka afu mwingine hajawai kuzaa afu yeye anataka watoto wawili tu wa kuongeza mmmmh apo shida labda umpate ambaye alishaolewa akaachwa km wew ulivyooa ukaacha. Hapo mtaelewana
 
Mimi umri wangu ni miaka 40. Nilikuwa masomoni nje ya nchi. Natafuta mke.
Niliwahi kuwa na mahusiano na nina watoto wawili na ninawapenda sana.

Dini yangu mkristo. Mke awe mkristo. Umri wa mke kuanzia 25 ila umbile liwe la ki utu uzima!

Aliye tayari aniPM.
Bado hujapata mke mpk leo?
 
Elewa mada ndugu.Mwanamke niliyemzalisha watoto hao ni mmoja.Alichoshwa na mimi kutumia muda mwingi masomoni!!!!
Kwa sasa utakuwa umerudi nchini.... mnaweza kuyajenga na kurudiana tena.... Litakuwa ni jambo la heri...!!!
 
Kwa sasa utakuwa umerudi nchini.... mnaweza kuyajenga na kurudiana tena.... Litakuwa ni jambo la heri...!!!
NAOMBA NISIJIBU HII HOJA YAKO KWA KUWA HUELEWI KIINI CHA TATIZO!! MWANAMKE HUWA ANATAMANI NDOA KABLA HAJAIPATA, AKIISHAOLEWA THAMANI YA NDOA HUSHUKA!! HII NI KULINGANA NA YALIYONIPATA PAMOJA NA UCHUNGUZI WANGU USIO RASMI!!!
 
Back
Top Bottom