Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Nataka gym yenye pisi kalii....Ndio sikojoi sasa
Halafu usinifokee tafadhali...nenda gym
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka gym yenye pisi kalii....Ndio sikojoi sasa
Halafu usinifokee tafadhali...nenda gym
Nenda arifNataka gym yenye pisi kalii....
Mbombo ngafuNatafuta mke wa kula nae uzee mwenye sifa hizi awe na umri miaka35-47, awe mkiristo, ambae hazai awe tayari kunilea
Wasifu wangu Nina miaka 64 Nina watoto 6 wa mwisho ana miaka5 Mimi ni mgane retired since 2020 January pia ni mjasilia Mali na mkulima wa vitunguu mpunga na mfugaji wa kuku na nguluwe Niko tayari kukuhudumia na kukupenda kwa moyo karibu chaguo langu njoo inbox
Kachukue capital uliache na pressure likijifiaNani akulee na uzee huo..!!! Pambana tu mwenyewe
Kama capital hutafutwa kwa namna hiyo..acha niendelee kudundulizaKachukue capital uliache na pressure likijifia
Safii...wife material kabisa weweKama capital hutafutwa kwa namna hiyo..acha niendelee kudunduliza
😂😂😂😂 EmbuuuuSafii...wife material kabisa wewe
Unaogopa nini miss fursa hiyo.64?? Naogopaaa!!!
Sio na 64 aisee daahUnaogopa nini miss fursa hiyo.
Wewe si huwa hupendi kuliwa ile ki sana sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatafta mtu wakumalizia hela yake ya kikokoteo[emoji3]
[emoji1787][emoji1787] ng'ombe hazeeki maini.Sio na 64 aisee daah
Tobaa [emoji2817][emoji2817][emoji2817]At 64 hata bao zako hazitafikia zile za simba jana
Sijafulia hivo