Natafuta mke wa kumuoa

Natafuta mke wa kumuoa

Phrasal Verbs

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
245
Reaction score
263
Mimi ni
>Nina miaka 27
>Mrefu kiasi 5‘6” (futi 5 na inchi 6)
>Elimu kidato cha sita
>Sina mtoto
>Ni fundi muashi/uwashi
>Mlongo wa kisiasa ni muafidhina
>Dini ni muislam

Mwanamke ninaemuhitaji awe na vigezo vifuatavyo
>Awe ni muislam au mwenye nia ya kuwa muislam
>Umri ni miaka 20 hadi 27
>Awe bado hajazaa
>Ajue kusoma na kuandika na kuhesabu pia.

Ewe mwenyezimungu nijalie nipate mke mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unatafuta mke kisha ukajichanganya kwenye post soma upya kisha rekebisha
Mimi ni
>Nina miaka 27
>Mrefu kiasi 5‘6” (futi 5 na inchi 6)
>Elimu kidato cha sita
>Sina mtoto
>Ni fundi muashi/uwashi
>Mlongo wa kisiasa ni muafidhina
>Dini ni muislam

Mwaname ninaemuhitaji awe na vigezo vifuatavyo
>Awe ni muislam au mwenye nia ya kuwa muislam
>Umri ni miaka 20 hadi 27
>Awe bado hajazaa
>Ajue kusoma na kuandika na kuhesabu pia.

Ewe mwenyezimungu nijalie nipate mke mwema

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni
>Nina miaka 27
>Mrefu kiasi 5‘6” (futi 5 na inchi 6)
>Elimu kidato cha sita
>Sina mtoto
>Ni fundi muashi/uwashi
>Mlongo wa kisiasa ni muafidhina
>Dini ni muislam

Mwanamke ninaemuhitaji awe na vigezo vifuatavyo
>Awe ni muislam au mwenye nia ya kuwa muislam
>Umri ni miaka 20 hadi 27
>Awe bado hajazaa
>Ajue kusoma na kuandika na kuhesabu pia.

Ewe mwenyezimungu nijalie nipate mke mwema

Sent using Jamii Forums mobile app
Mke. !!! Unamuaoje
Mke. Si uliisha muoa ndugu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom