Ebeneza2018
Member
- Oct 8, 2017
- 11
- 11
AsanteKila la Kheri..
Amen,niombe ndugu yangu nipate hitaji la moyo wangu
Nitashukurukila la heri
Amen,niombe ndugu yangu nipate hitaji la moyo wangu
Wewe sio hearly kweli umekuja na New ID,Habari zenu wapendwa wa jf ,jina naitwa cirmick naishi morogoro, umri wangu ni miaka 30-40,elimu yangu ninashahada ya kwanza,dini mkristu,mzaliwa wa hapahapa Tanzania,kazi nimeajiriwa,
Mke nimtakaye
Awe na umri wa miaka 27-40,
Dini yeyote,kabila lolote,awe na elimu ya chuo kikuu,awe anapatika a mahali popote Tanzania .Awe anajituma nakutambua thamani ya ndoa,awe na hofu ya Mungu.
Kama unahitaji tuwasiliane kwa namba 0689425236 au ni pm asante.N:B kama upo serious nitafute kwani nipo serious kwa hilo.Asanteni sana.
πππππππππ
Naamini wapo mpendwa
Mkuu kwani wewe sio mwema
Changamkia Fursa kwa jamaa ili kumpunguzia kutafuta
Hapatikani popote, kama anapatikana popote nenda kachukue Buguruni.Samahani mke anapatikana popote pale iwe ni vijijini au mjini ,kanisani,safarini,kanisani,anakaribishwa,kwahiyo hata kupitia mtandao huu was jf najua atapatikana