Ebeneza2018
Member
- Oct 8, 2017
- 11
- 11
Habari zenu wapendwa wa jf ,jina naitwa cirmick naishi morogoro, umri wangu ni miaka 30-40,elimu yangu ninashahada ya kwanza,dini mkristu,mzaliwa wa hapahapa Tanzania,kazi nimeajiriwa,
Mke nimtakaye
Awe na umri wa miaka 27-40,
Dini yeyote,kabila lolote,awe na elimu ya chuo kikuu,awe anapatika a mahali popote Tanzania .Awe anajituma nakutambua thamani ya ndoa,awe na hofu ya Mungu.
Kama unahitaji tuwasiliane kwa namba 0689425236 au ni pm asante.N:B kama upo serious nitafute kwani nipo serious kwa hilo.Asanteni sana.
Mke nimtakaye
Awe na umri wa miaka 27-40,
Dini yeyote,kabila lolote,awe na elimu ya chuo kikuu,awe anapatika a mahali popote Tanzania .Awe anajituma nakutambua thamani ya ndoa,awe na hofu ya Mungu.
Kama unahitaji tuwasiliane kwa namba 0689425236 au ni pm asante.N:B kama upo serious nitafute kwani nipo serious kwa hilo.Asanteni sana.